Home »
Michezo
» #MICHEZO>>>Jose Mourinho huyoo Man United.Fahamu zaidi hapa.
Mourinho amekuwa nje ya kazi tangu alipofukuzwa kazi na Chelsea mnamo December 2015.
Huku United wakiwa wameshindwa kufuzu kucheza Champions League chini
ya Louis van Gaal – viongozi wa Old Trafford wameamua kufanya
mabadiliko.
Inaeleweka dili na kocha huyo mwenye miaka 53 lilifanyika kabla ya mchezo wa fainali ya FA Cup dhidi ya Crystal Palace.
United wanategemewa kumtangaza rasmi Mourinho mapema wiki ijayo baada ya kumtaarifu Van Gaal kuhusu mwisho wa ajira yake.
Van Gaal bado ana mwaka mmoja kwenye mkataba wake wa miaka 3, lakini
pamoja na kutumia £250m utawala wake umekuwa wa majuto kwa klabu na
kuwaacha mashabiki wengi wakiwa hawaridhiki na utendaji wake, msimu wa
kwanza alimaliza nafasi ya 4, na msimu huu watano.
Mourinho ni mmoja wa makocha bora katika ulimwengu wa soka, akishinda
makombe matatu ya ligi katika vipindi viwili vya kazi ndani ya Chelsea,
pamoja kuziongoza Porto na Inter Milan kutwaa Champions League – pia
akibeba ubingwa wa La Liga na RealMadrid.
Related Posts:
#MICHEZO>>>Harry Kane wa Tottenham Hotspurs donge nono lamtembelea.Fahamu zaidi hapa.
Mshambuliaji
raia wa Uingereza Harry Kane 22,huenda akazawadiwa kwa mkataba mnono na
klabu yake ya Tottenham Hotspurs kutokana na msimu mzuri.Mshambuliaji
uyo anaelipwa paundi 50,000 kwa wiki atalipwa mara mbili ya msha… Read More
#MICHEZO>>>>LIVERPOOL YATINGA FAINALI EUROPA CUP, YAITWANGA VILLARREAL.Fahamu zaidi hapa.
Liverpool: Mignolet, Clyne, Toure, Lovren, Moreno, Can,
Lallana, Milner, Coutinho (Allen 83 mins), Sturridge (Lucas 92), Firmino
(Benteke 90)
Subs not used: Ward, Ibe, Skrtel, Smith
… Read More
#MICHEZO>>>USAJIRI Mchezaji wa timu ya Chelsea kutimkia Juventus.
Nemanja
Matic kutimkia Juventus,Inasemekana Chelsea Wameafikiana makubaliano ya
paundi milioni 20 na mabingwa hao wa Serie A.Kocha anaekuja kuchukua
mikoba ya Hiddink,muitaliano Conte hajaridhika na mchezaji huyo kubaki
… Read More
#MICHEZO>>>EXCLUSIVE: KESSY RASMI LEO ANATUA YANGA, ANASAINI NA KUPEWA JEZI YAKE.Fahamu zaidi hapa.
Kilichobaki kati ya Yanga na beki Hassan Kessy ni kuweka saini kwenye mkataba pekee.
Yanga na beki huyo ambaye mkataba wake Simba unakwisha,
wamefikia mwafaka baada ya kukubaliana kila kitu na leo matarajio
makubwa ata… Read More
#MICHEZO>>>WAAMUZI KUTOKA GHANA KUAMUA MECHI YA YANGA CAF.Fahamu zaidi hapa.
MWANDISHI WETU
Mwamuzi Joseph Odartei Lamptey,
Jumamosi Mei 7, 2016 anatarajiwa kuwa mwamzi wa kati katika mchezo wa
kimataifa kuwania Kombe la Shirikisho Barani Afrika utakaozikutanisha
timu za Young Africans ya Dar… Read More
0 comments:
Post a Comment