Msanii wa anayetikisa kwa sasa Dar ya Makonda Gigy Money
amefunguka leo kwenye Planet bongo ya East Africa radio kwamba
ameshatembea na Ali Kiba, Rich Mavoko na Hemed PhD kwa nyakati tofauti
na wote walimtongoza kwenye mtandao wa instagram.
Gigy Money amesema kwa sasa amefunga Dm yake instagram sababu ya
kuondoa usumbufu wa wanaume wanaomtaka kila leo. Kwa sasa amepata
sponsor anaempa pesa nyingi almost laki 5 kila siku hivyo hana mpango wa
kupata bwana mwingine labda atokee mwenye hela zaidi.
0 comments:
Post a Comment