Thursday, 5 May 2016

#YALIYOJIRI>>>Wafanyabiashara wadogo wadogo watangaziwa kuhama Kariakooo kabla ya jumatatu ijayo.Fahamu zaidi hapa.


Jumatatu ijayo wafanyabiashara wadogo wadogo na wengineo wa wanaofanya shuhulizao Kariakoo pembezoni mwa barabara wataondolewa na Manispaa ya Ilala.

Izi picha zinazo onekana hapa chini ni wafanya biashara wadogo wadogo ambao wametangaziwa kuondika siki ya jumatatu iyayo ambayo itakuwa Tarehe May 09,2016.


0 comments:

Post a Comment