Ikulu Dar es Salaam
Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt.John Bombe Magufuli,Leo tarehe 16 Desemba 2016 ametengu uteuzi wa mkurugenzi mkuu wa Taasisi ya Taifa ya utafiti wa magonjwa ya binadamu (NIMR)
Dkt.Mwele Malecela.
Uteuzi wa mkulugenzi mkuu NIMR atakayejaza nafasi iliyoachwa wazi na Dkt.Mwele Malecela Utatangazwa baadaye.
Gerson Msigwa
Mkurugenzi wa mawasiliano ya Rais Ikulu
Dar es Salaam
16 Desemba 2016
Download Application ya Hebron Male Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi
Bonyeza Hapa CLICK HERE
0 comments:
Post a Comment