Tuesday, 9 May 2017

JUVE YATINGA FAINALI LIGI YA MABINGWA, YAICHAPA MONACO 2-1, MBAPPE MBISHI ASEEE.

  • Juventus imefanikiwa kutinga fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya ikiwa timu ya kwanza kufanya hivyo msimu huu.
Imetinga fainali kwa kuichapa Monaco ya Ufaransa kwa mabao 2-1 katika mechi iliyoisha hivi punde. Hivyo kuvuka kwa jumla ya mabao 4-1 baada ya ushindi wa mabao 2-0 ikiwa ugenini katika mechi ya kwana.

Mandzukic na Dani Alves ndiyo mashujaa wa leo wa Juve baada ya kufunga mabao hayo mawili lakini kinda Kylian Mbappe, naye alifunga bao moja la kufutia machozi kwa timu yake.

VIKOSI:

  • Juventus: 
  • Buffon; Chiellini, Barzagli, Bonucci; Dani Alves, Pjanic, Khedira, Alex Sandro; Mandzukic, Dybala; Higuain 
  • Subs: Neto, Lichtsteiner, Benatia, Asamoah, Marchisio, Rincon, Cuadrado 

  • Monaco:
  • Subasic; Sidibe, Glik, Jemerson, Raggi; Mendy, Moutinho, Bakayoko, Silva, Mbappe, Falcao
  • Subs: De Sanctis, Fabinho, Mendy, Diallo, Lemar, Germain, Carrillo.
Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
                       Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
                       Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hapa 

Related Posts:

0 comments:

Post a Comment