Meneja wa AS Monaco Leonardo Jardi amesema kwamba, ni lazima washinde
katika mchezo wetu wa kwanza wa nusu fainali ya Klabu Bingwa Barani
Ulaya dhidi ya Juventus ili tupate nafasi ya kuingia hatua ya fainali.
Bosi huyo amesisitiza ushindi siku zote unaanzia nyumbani.
“Huu utakuwa mchezo muhimu kwetu. Lakini mamuzi ya mwisho ya nani amepita katika hatua hii yatatoka huko Turin. Ni lazima tufunge hata goli moja pale Bayern Munich.
“Nilazima tufanye hivyo. Tuliwafunga magoli matatu Manchester City, magoli matatu Dortmund na magoli matatu pia dhidi ya Tottenham. Hizi zote zilikuwa ni timu kubwa . “Ndio maana ni lazima tushide Jumatano hii.”
Monaco ameingiza kimyani Magoli 11 mpaka sasa katika michezo yake minne iliyocheza kunako Klabu bingwa barani ulaya.
Download Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa
Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hapa
0 comments:
Post a Comment