Waziri wa Nishati na Madini, Prof. Sospeter Muhongo amewataka watanzania
kukubaliana na ukweli kuwa mikataba yote ya umeme iliyopo hapa nchini
ni mibaya. Waziri Muhongo ameyasema hayo alipokuwa akijibu changamoto
zilizoelekezwa katika Wizara yake katika Mkutano wa Baraza la Taifa la
Biashahara, Ikulu jijini Dar es Salaam.
Hatahivyo,Waziri Muhongo hakufafanua kuhusu wahusika wa mikataba
hiyo;mikataba husika na namna ya kuifanya iwe mizuri. Mtakubaliana nami
kuwa mikataba ya umeme kati ya TANESCO na Makampuni ya kuzalisha umeme
imekuwa ikizalisha kashfa za kifisadi pamoja na kesi mbalimbali za jinai
na madai kwa miaka mingi sasa.
Download Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa
Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hapa
0 comments:
Post a Comment