Wanafunzi zaidi ya 20 wapoteza maisha huko Arusha, kufuatia ajali ya gari wakati wakielekea Karatu katika kufanya mitihani.
Kwa
mujibu wa taarifa ambazo MsindiForums imezipata muda huu inaeleza
kuwa, ajali hiyo mbaya kabisa katika mkoa huo wa Arusha imetokea eneo
la Kata ya Rhotia Wilaya ya Karatu. Basi la wanafunzi wa St Lucky ya
Arusha walikuwa wanaenda karatu kufanya mtihani na wanafunzi wenzao wa
Tumaini English Medium School ya Karatu ndipo walipopata ajali hiyo.
Kwa
mujibu wa mashuhuda waliopo eneo la tukio wanaeleza kuwa mpaka sasa
taarifa za vifo ni watoto zaidi ya 20 wamepoteza maisha na waalimu wao.
MSINDIFORUMS
inaendelea kuwasiliana na vyanzo mbalimbali vya habari, na
tutakuhabarisha hapahapa kujua idadi kamili pamoja na majina yao.
Endelea kuperuzi mtandao wako ulio bora zaidi.
Download Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa
Download Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa
Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hapa
0 comments:
Post a Comment