Saturday, 6 May 2017

GARI LA MBUNGE MH SEIF GULAMALI LAPATA JALI MBAYA SOMA HABARI.

Gari la Mbunge wa Manonga Igunga, MH Seif Gulamali. Limepata ajali maeneo ya Ibologero likiwa na dareva wake pamoja na kijana mwingne, wakati wakirudi toka Mwanza walikompeleka mbuge huyo na kumwacha.


Wakati dereva anarudi Igunga na mwenzake bila kuwepo Mbunge huyo, Wakapata ajali, na wote wawili wametoka salama
Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
                       Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
                       Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hapa 

0 comments:

Post a Comment