Baada ya show zake ambazo hazifiki hata 15 toka ametusua kupitia single yake ya Aiyola mkali huyu kutoka WCB ameonyesha bidii ikiwekwa popote kuna matunda. Ni gari aina ya Mark X ambapo Mmiliki wa label ya WCB, Diamond Platnumz alimpongeza na kuandika…”Kama nikusiivyo siku zote ni juhudi na Nidhamu yako ndio itayokufanya upate matunda ya kazi yako….. Usiache unyenyekevu, kuheshimu mkubwa na Mdogo, Kumuomba na kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kila hatua ndogo Uipigayo…. Congrats kwa your New Ride” Diamond
Sunday, 8 May 2016
Home »
Burudani
» Harmonize kwaa sasa anamiliki ndinga hii aina ya Mark X..Muziki unalipa.Fahamu zaidi hapa.
Harmonize kwaa sasa anamiliki ndinga hii aina ya Mark X..Muziki unalipa.Fahamu zaidi hapa.
Related Posts:
#BURUDANI>>>>Dongo la Diamond Lamtoa Mapovu Aliyekuwa Mume wa Zari Ivan....Meseji zavuja Zari Akimuomba Msamaaa.Fahamu zaidi hapa. Hali ni Tete Madale....Dongo la Diamond aliloandika kuhusu wale wanaojisifu kuwa wanahela lakini watoto wao wanaishi kwenye nyumba ya kupanga limemfikia mwenyewe ambae ni mume wa dhamani wa Zari aitwaje Ivan , Nime… Read More
#BURUDANI>>>>IDRIS Sultan Ampiga Dongo Diamond, Adai Amepoteza Control Kwa Wanawake zake Mpaka Mambo Yanamwagika Ovyo.Fahamu zaidi hapa. Kama huwezi utani basi jiweke mbali na Idris Sultan kwa kuwa ipo siku unaweza kujikuta ukifanya kitu usichokitarajia. Mchekeshaji huyo ameandika ujumbe wa utani kwa Diamond na Zari kwenye mtandao wake wa Instagram baada … Read More
#YALIYOJIRI>>>Nay wa Mitego Afunguka Kwa Mara ya Kwanza Toka Shamsa Ford Kuelewa na Mwanaume Mwingine...Adai Alimwambia Anaenda Kuolewa.Fahamu zaidi hapa. Akizungumza katika kipindi cha XXL cha Clouds FM Ijumaa hii, Nay Wa Mitego amesema Shamsa ni ‘wife material’ hivyo anamtabiria kudumu katika ndoa yake. “Ndoa ni kitu cha heri lakini sometime watu wanaweza wakaoana kwa k… Read More
#BURUDANI>>>>Shilole Asema Chupu Chup Awe Salome Kwenye Video ya Diamond...Adai Ingepata Views Mil 2 Ndani ya Siku Mbili.Fahamu zaidi hapa. Mwanadada mwenye mvuto kupita wote ndani ya gemu ya maburudani Afrika Mashariki na Kati ameendelea kugonga headlines za vyombo vya habari baada ya kusema Diamond platnumzs alitaka yeye ndio HAWE video Queen wa nyimbo ya … Read More
#BURUDANI>>>>Queen Tipha afunguka baada ya mpenzi wake, Ben Pol kuonekana kwenye picha akibusiana na Snura.Fahamu zaidi hapa. Latifa Mohamed aka Queen Tipha amefunguka baada ya kusambaa mitandaoni picha za mzazi mwenzake, Ben Pol akionekana wakibusiana na Snura wakati walipokuwa mkoani Tabora kwa ajili ya tamasha la Fiesta. Queen Tipha amekiamb… Read More
RELATED POSTS
0 comments:
Post a Comment