Wednesday, 4 May 2016

#MICHEZO>>>Fernando aipa ushindi Real Madrid dhidi ya Manchester City.Fahamu zaidi hapa.

Nyota wa Real Madrid, Gareth Bale akipiga shuti linalombabatiza beki wa Manchester City, Fernando na kuipatia timu yake bao pekee la ushindi Uwanja wa Bernabeu katika mchezo wa marudiano wa Nusu Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya. Real Madrid inatinga fainali kwa ushindi wa jumla wa 1-0 baada ya awali kutoa sare ya 0-0 mjini Manchester na sasa watakutana na mahasimu wao, Atletico Madrid Uwanja wa San Siro mjini Milan Mei 28
 
Haya chini ndio matokeo ya mchezo 
 Hizi ni Picha za Matukio.

0 comments:

Post a Comment