Nyota
 wa Real Madrid, Gareth Bale akipiga shuti linalombabatiza beki wa 
Manchester City, Fernando na kuipatia timu yake bao pekee la ushindi 
Uwanja wa Bernabeu katika mchezo wa marudiano wa Nusu Fainali ya Ligi ya
 Mabingwa Ulaya. Real Madrid inatinga fainali kwa ushindi wa jumla wa 
1-0 baada ya awali kutoa sare ya 0-0 mjini Manchester na sasa watakutana
 na mahasimu wao, Atletico Madrid Uwanja wa San Siro mjini Milan Mei 28
  
Haya chini ndio matokeo ya mchezo   
 Hizi ni Picha za Matukio.
 
0 comments:
Post a Comment