Home »
Michezo
» #MICHEZO>>>>TIMU TATU ZILIZOSHUKA DARAJA MSIMU HUU EPL.Fahamu zaidi hapa.
Hivi umeshaanza kuwaza itakuwaje kwenye
michuano ya UEFA pale Leicester City Itakapo pangwa kundi moja na
Bayern au Barcelona? Epushia mbali Madrid ambayo inaimalika kila
kukicha.
Ligi ya EPL huwa ina sehemu kuu tatu,
Ubingwa,Nne bora na mstari wa kushuka daraja hapo ndo watu huchukiana na
makocha kugoma kutoa mkono kwa mwenzake.
Bingwa amejulikana tayari kwahiyo
sehemu ya pili ni kugombania nne bora tayari ishajulikana
Leicester,Arsenal na Spurs. Nafasi ya nne sasa ipo chini ya Manchester
City au Man U japo mechi Manchester City inanafasi kubwa ya kukata
tiketi.
Sehemu ya Tatu ya ligi hiyo ni
kugombania kubaki ligi kuu, Aston Villa tayari imeshashuka muda mrefu
lakini usiku wa jana timu mbili zimeungana naye ambazo ni Norwich City
na Newcastle Uinted. Sundeland imebaki ligi kuu baada ya kuibuka na
ushindi dhidi ya Everton. Pole sana Mh. Rais msataafu Dkt Jakaya Mrisho
Kikwete kwa kuwa hutakuwa na timu tena kwenye ligi ya EPL baada ya
Newcastle kurudi daraja la kwanza.
0 comments:
Post a Comment