Friday, 6 May 2016

#MICHEZO>>>USAJIRI Mchezaji wa timu ya Chelsea kutimkia Juventus.

Nemanja Matic kutimkia Juventus,Inasemekana Chelsea Wameafikiana makubaliano ya paundi milioni 20 na mabingwa hao wa Serie A.Kocha anaekuja kuchukua mikoba ya Hiddink,muitaliano Conte hajaridhika na mchezaji huyo kubaki klabuni hapo

0 comments:

Post a Comment