Magoli ya Simon Msuva na Matheo Anthony yameiweka yanga kwenye
mazingira mazuri ya kufuzu kucheza hatua ya makundi ya michuano ya kombe
la shirikisho barani Afrika.
Yanga wamepata ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Sagrada Esparanca ya
Angola, magoli yote yakifungwa kipindi cha pili cha pambano hilo.
Simon Msuva alianza kuifungia Yanga bao dakika ya 71 kipindi cha pili
kwa kuunganisha kwa kichwa krosi ya Geofrey Mwashiuya kabla ya kabla ya
Matheo kuipa Yanga bao la pili dakika za nyongeza kwa shuti kali akiwa
nje ya takribani mita 25 kutoka golini.
Eh..Kumbe Mrisho Ngasa Yupo Yanga kwa Makubaliano Haya Eti.
WINGA aliyekipiga Mbeya City msimu uliopita, Mrisho Ngassa, amerejea
kwenye klabu yake ya zamani ya Yanga na leo amejumuishwa kwenye kikosi
hicho kilichocheza na Tusker kwenye michuano ya Super Cup, katika Uwanja
wa Uhu…Read More
Sakata la Manula Kusaini Simba..Azam Watoa Tamko Hili.
Afisa Habari wa klabu ya Azam, Jaffar Iddi amefunguka na kukanusha
taarifa zinazoendelea mitaani kuwa kipa namna moja wa Azam FC, Aishi
Manula amesaini mkataba na klabu ya Simba na kudai kuwa mchezaji huyo
bado atabaki …Read More
0 comments:
Post a Comment