Home »
Michezo
» #MICHEZO>>>Wakala wa Ibrahimovic amalizana na Man United.Fahamu zaidi hapa.
Baada ya mshambuliaji wa PSG, Zlatan Ibrahimovic kuweka wazi
kuwa ataondoka klabuni hapo baada ya msimu huu kukamilika na kuhusishwa a
baadhi ya vilabu ikiwepo Manchester United, Arsenal na Chelsea,
zimetoka taarifa kuwa Man United wao hawajatuma ofa kumtaka mchezaji
huyo.
Akizungumza na Sky Sports News, wakala wa Ibrahimovic, Mino
Raiola amekanusha taarifa hiyo na kuwa siyo sahihi Manchester United
kuwa wametuma maombi ya kutaka kumsajili mteja wake.
“Katika hii dunia tunatambua kuwa waandishi wa habari wanaandika sawa na mitizamo yao, kuhusu jambo hilo siyo sahihi,
“Najua nini nitafanya mwaka ujao lakini siwezi kukwambia,” alisema Raiola
Related Posts:
#MICHEZO>>>>ALICHO ONGEA WYNE ROONEY BAADA YA KUSIKIA NDUGU YAKE KAPANDA MLIMA KILIMANJARO.FAHAMU ZAIDI HAPA.
August 18 2016 ilikuwa ni siku ya kihistoria kwa Anthony McLoughlin ambaye ni shemeji wa mshambuliaji wa kimataifa wa England anayeichezea Man United Wayne Rooney, Anthony August 18 alifanikiwa kupanda mlima Kilimanjar… Read More
#MICHEZO>>>>MKWASA AMPUMZISHA DIDA TAIFA STARS, YULE KIPA MTAMU WA JKT APATA ULAJI.FAHAMU ZAIDI HAPA.
Kocha
Mkuu wa timu ya Mpira wa Miguu Tanzania ‘Taifa Stars’, Charles Boniface
Mkwasa, amefanya mabadiliko kwenye kikosi kinachotarajiwa kusafiri
Jumatano Agosti 31, 2016 kwenda Nigeria kwa ajili ya mchezo wa mwisho wa
… Read More
#MICHEZO>>>>UFALME WA MESSI, RONALDO ULIVYO TOFAUTI UNAPOFIKA KATIKA MAJIJI YA BARCELONA, MADRID.FAHAMU ZAIDI HAPA.
Kutoka Hispania
UNAPOWAZUNGUMZIA
washambuliaji wawili wa Lionel Messi na Cristiano Ronaldo nje ya miji
ya Barcelona na Real Madrid, mambo yanakuwa tofauti kabisa na inavyokuwa
ndani ya miji hiyo.
Wote wawili, wan… Read More
#MICHEZO>>>>RASHFORD AFUNGA BAO DAKIKA YA MWISHO, MAN UNITED YAIBUKA NA USHINDI WA BAO 1-0 DHIDI YA HULL CITY.FAHAMU ZAIDI HAPA.
Hull City (4-3-3): Jakupovic 7;
Elmohamady 6, Davies 8, Livermore 6.5, Robertson 6; Huddlestone 6.5,
Meyler 7, Clucas 6; Snodgrass 6.5 (Maloney 48 6), Hernandez 6.5 (Maguire
83), Diomande 6.5
Substitutes: Kuciak … Read More
#MICHEZO>>> Jose Mourinho Ampiga Mkwara Rashford.Fahamu zaidi hapa.
MWACHENI Jose Mourinho na kiburi chake aisee. Ungeweza kudhani angetoa
maneno ya kufariji kwa kinda Marcus Rashford baada ya juzi kuibuka na
ushujaa wa dakika za mwisho katika pambano gumu dhidi ya Hull City
ugenini. Mou… Read More
0 comments:
Post a Comment