WAKATI SIKU YA JANA SUMATRA WAKITANGAZA KUANZA KWA HUDUMA YA MABASI YA MWENDO KASI KWA SIKU YA LEO HUKU IKITOA HUDUMA HIYO BURE KWA SIKU MBILI ZA MWANZO,HALI IMEKUWA TOFAUTI BAADA YA HII LEO HAYO MABASI KUTO ONEKANA TOKEA KABISA BARABARANI HUKU WATU WAKIWA BADO WANAYASUBIRI PASIPO MAFANIKIO YEYOTE HUKU IKIWA HAIJULIKANI NINI TATIZO.MTANDAO HUU UTAENDELEA KUFWATILIA NINI KILICHO SABABISHA HALI HII KUTOKEA.
Tuesday, 10 May 2016
Home »
Habari Moto
» #YALIYOJIRI>>>MABASI YA MWENDO KASI YAGOMA KUANZA KAZI LEO.Fahamu zaidi hapa.
#YALIYOJIRI>>>MABASI YA MWENDO KASI YAGOMA KUANZA KAZI LEO.Fahamu zaidi hapa.
Related Posts:
Ofisi Nyingine za Mawakili Zavunjwa na Kuporwa Vifaa. Wiki mbili baada ya ofisi za mawakili ya Prime Attorneys jijini Dar es Salaam kuvamiwa usiku wa manane na watu wasiojulikana, ofisi nyingine ya mawakili imefanyiwa uhalifu wa aina hiyo mjini hapa. Katika uvamizi wa ofisi… Read More
Maneno ya Godblee Lema Baada ya Kukamatwa Msigwa 'Msiogope Baada ya Giza Nene Asubuhi Utokea'. Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini, Godbless Lema ameeleza baada ya Mbunge wa Iringa Mjini kukamatwa jana wakati akiwa katika mkutano wake katika kata ya Mlandege Manispaa ya Iringa. Lema kupitia ukurasa wake wa Twitter … Read More
Rais Magufuli Aongoza Kikao cha Kamati Kuu ya CCM Kilichoanza Leo. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt John Pombe Magufuli akiongoza kikao cha Kamati Kuu ya CCM kilichoanza leo Jumatano ya Septemba 27, 2017 Ikulu Jijini Dar es Salaam. … Read More
Askofu Niwemugizi: Niko Tayari Kuitwa Mchochezi Tunahitaji Katiba Tena Katiba Nzuri. Askofu wa Kanisa Katoliki Ngara, Severin Niwemugizi amesema yuko tayari kuitwa mchochezi endapo kundi la watetezi wa haki za binadamu watachukuliwa kama wachochezi. Askofu Niwemugiza amesema yeye kama kiongozi wa dini an… Read More
Uzushi Ambao Umesambaa Kuhusu Wanawake wa Zanzibar na Ubikira Wao. Nimegundua kuna uzushi ambao umesambaa sana hasa huku Tanzania bara juu ya wanawake wa Zanzibar, hivyo mimi nimeamua kuja kuweka ukweli wote hapa. Kuna mada ilipostiwa juzi hapa JF, kuhusu mikoa ya Tz na wanawake bikra … Read More
RELATED POSTS
0 comments:
Post a Comment