Tuesday, 10 May 2016

#YALIYOJIRI>>>>Serikali Yakata Rufaa Kwa Mara Pili Kupinga Bosi wa Zamani wa TRA na Wenzake Kufutiwa Shitaka la Kutakatisha PesaFahamu zaidi hapa.

Upande wa Jamhuri umekata rufaa kwa mara ya pili katika kesi inayowakabili Harry Kitilya, Shose Sinare na Sioi Solomoni katika Mahakama ya Rufaa baada ya rufaa hiyo kukataliwa katika Mahakama Kuu.

Kitilya, alikuwa Kameshina Mkuu wa katika Mamlaka ya Mapato Tanzania, (TRA), Sinare, Mkuu wa Idara ya ushirikiano na Uwekazaji Katika Benki ya Stanbic na Sioi, Mwanasheria wa Benki ya Stanbic

Rufaa hiyo imekatwa na Buswalo Mganga, Mwendesha mashitaka wa Serikali (DPP) katika kesi hiyo baada ya kutoridhika na uamuzi wa Mahakama Kuu ulifanywa wiki iliyopita na Moses Mzuna, Jaji Mfawidhi Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam.

Mganga alitangaza kukata rufaa mara baada kushindwa pingamizi lao la kupinga kufutwa kwa shitaka la nane la utakatishaji fedha lililofutwa na Emilis Mchauru Hakimu Mkazi Kisutu.

Watuhumiwa hao wanatuhumiwa kutenda makosa saba baada ya kufutwa kosa la nane na kwamba bado watuhumiwa hao wapo lumande.

Jalada la kesi hiyo lipo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu na kwamba kesi hiyo ilipangwa kutajwa tena tarehe 18 Mei mwaka huu.

Related Posts:

  • Hii Ndio Gharama ya Passport za Kielektroniki. Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dkt.  Mwigulu Nchemba amesema kuwa gharama mpya ya hati ya kusafiria ya kielektroniki itakuwa Sh. 150,000. Dk Nchemba amesema hayo leo  wakati wa uzinduzi wa Hati ya kusafiria y… Read More
  • TCRA Yafafanua Matuzi ya Alama za Vidole Kwenye Usajili wa Laini. “Ndugu mteja katika kuboresha usajili wa laini za simu alama za vidole zitatumika kuanzia Februari 5, 2018. Kwa mawasiliano zaidi tembelea maduka yetu,” ni ujumbe ambao watumiaji mbalimbali wa mitandao ya simu nchi wamet… Read More
  • Kampuni ya TTCL Yafutwa. Akizungumza na waandishi wa habari, Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Makame Mbarawa, amesema kuwa anamshukuru sana Rais Magufuli kwa kuona umuhimu wa kuona wa kuwa na shirika la mawasiliano madhubuti kwa ajili … Read More
  • Polisi Wakamata Machungwa Yaliyoibiwa. Polisi wa huko jijini Seville nchini Hispania wakamata watu watano jana baada ya kufukuzana nao kwa kasi na ndipo hapo polisi waligundua tani hizo za machungwa zilizoibiwa ambazo watuhumiwa walikuwa wameyajaza ndani ya m… Read More
  • TANZIA: Mzee Kingunge Ngombale Mwiru Afariki Dunia. Mzee Kingunge Ngombale–Mwiru amefariki dunia alfajiri ya leo.Tupo hapa na masikitiko makubwa.Poleni sana sana wafiwa na kijana wake Kinje (Mama yake alifariki 4/1/2018 na Baba yake leo)May his soul Rest in Eternal Peace. D… Read More

0 comments:

Post a Comment