Tuesday 10 May 2016

#YALIYOJIRI>>>>Yatazame hapa: Majina ya kashfa ya kuficha fedha ughaibuni (Panama Papers) yawekwa wazi.Fahamu zaidi hapa.

 Kashfa ya kuficha fedha ughaibuni (offshore) maarufu kama Panama Papers imechukua muelekeo mpya baada ya shirika la uandishi wa kiuchunguzi duniani (ICIJ) hii leo kuweka wazi majina na nchi za vigogo wanaohusika na kashfa hii. Kufahamu kuhusu wahusika Tanzania na nchi nyingine bonyeza hapa.

0 comments:

Post a Comment