Wednesday, 6 July 2016

#YALIYOJIRI>>>>> Mufti Mkuu wa Tanzania, Sheikh Abubakary Zubeiry leo Atangaza kuwa kesho Jumatano ni Sikukuu ya Eid el Fitri.Fahamu zaidi hapa.

Kwa kipindi cha mwezi sasa waislamu walikuwa katika mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani wakitimiza  ibada ya nguzo za uislamu ambayo ni Kufunga.
 
Baadhi ya waislamu kutoka mataifa mbali mbali wakiwepo wajerumani na Afrika magharibi, leo wamesherekea sikukuu ya Eid el fitr baada ya kumaliza mfungo wao.
 
Hata hivyo leo Mufti Mkuu wa tanzania Zubeir Bin Ally amewataka pia waislam kujitokeza kesho katika misikiti mbalimbali kwa ajili ya ibada ya Eid el Fitr.
 
Taarifa ambayo imetolewa leo ni uthibitisho wa sikukuu ya Eid el Fitr ambapo Waislam wote walikua wakisubiri kuandama kwa mwezi.
 
Kwenye taarifa yake Muft Zubeir amesema Mwezi huo umeonekana sehemu mbalimbali za nchi yetu ya Tanzania, hivyo  kesho Jumatano ni Sikukuu ya Eid el Fitri

Related Posts:

  • Hali ya Mbunge wa CHADEMA Siyo Nzuri, Alazwa Muhimbili. Mbunge wa Tarime Vijijini, John Heche alifikishwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) jana akitokea Dodoma kwa ajili ya matibabu baada ya kyzidiwa ghafla. Mbunge huyo anasumbuliwa na uvimbe ambapo mdogo wake, Edwa… Read More
  • Mauaji mengine yatokea Rufiji. Rufiji.Mtu mmoja Aitwae Amri Chanjale (55), mkazi wa kitongji cha Makaravati katika Kijiji cha Umwe Kusini wilayani Rufiji ameuawa kwa kupigwa risasi akiwa nyumbani kwake. Tukio hilo limetokea jana saa 1.30 usiku baada y… Read More
  • Machangudoa Wajilipua Kwa Rais Magufuli. DAR ES SALAAM: Kama mbwai na iwe mbwai! Ndivyo wanavyosema baadhi ya wasichana wanaojihusisha na biashara haramu ya kujiuza (machangudoa) sehemu mbalimbali jijini Dar wakimaanisha liwalo na liwe baada ya kuamua kujilipua… Read More
  • SIRI ya Marekani Kufanya Njama za Kutaka Kumuua Rais wa Korea Kaskazini Zavuja. Maajenti wa Marekani na Korea Kusini wanapanga njama ya kumuua kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong-un, vyombo vya habari nchini humo vimesema. Taarifa kutoka wizara ya usalama nchini Korea Kusini imesema mawakala wa kun… Read More
  • Sugu Amvaa 'Bashite' Bungeni. MBUNGE wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ amemshambulia Bashite huku akisema kuwa mtu huyo alipaswa awe mahakamani na sio ofisini kwa madai kuwa amefoji vyeti vya elimu ya sekondari jambo ambalo ni kosa kisheria. Ha… Read More

0 comments:

Post a Comment