
Baada ya kuwapo matukio ya mauaji walayani hapa, Kanisa Katoliki Kigango
cha Jaribu/Mjawa katika Parokia ya Kibiti Mkoa wa Pwani, limevunjwa
mlango wake na watu wasiojulikana kisha kuchoma moto majoho manne ya
viongozi wa kanisa hilo.
Kiongozi wa kanisa hilo, Katekista Joseph Mwilu amesema tukio hilo limetokea juzi saa mbili usiku.
Mwilu amesema akiwa...