Sunday, 30 April 2017

BAADA ya Polisi Nane Kuuawa Kinyama..Milango ya Kanisa Yavunjwa Kibiti.Fahamu zaidi hapa.

Baada ya kuwapo matukio ya mauaji walayani hapa, Kanisa Katoliki Kigango cha Jaribu/Mjawa  katika Parokia ya Kibiti Mkoa wa Pwani, limevunjwa mlango wake na watu wasiojulikana kisha kuchoma moto majoho manne ya viongozi wa kanisa hilo. Kiongozi wa kanisa hilo, Katekista Joseph Mwilu amesema tukio hilo limetokea juzi saa mbili usiku. Mwilu  amesema akiwa...

#BREAKING NEWS>>>LOWASSA AFUNGUKA MAZITO KUHUSU JINA LA MWANAYE KUWA KWENYE LIST YA VYETI FEKI.

habari inayo Gonga vichwa vya watu ni kuhusu vyeti feki kubwa zaidi ni Pale Jina la mtoto wa Lowassa kuwemo kwenye List ya wenye vyeti feki kiendo ambacho kime Mfedhehesha sana Lowassa na kusema kuwa Hata lifumbia macho hili swala la Mwanaye kuwekwa kwenye List ya vyeti feki Lowassa Nitalitolea Ufafanuzi Jina la Godfrey Ngoyai Lowassa lililopo kwenye list ya watu wenye...

TRUMP Akejeli Jaribio La Kombora La Korea Kaskazini Jana, ‘Ni Dharau’.

Rais wa Marekani, Donald Trump amekejeli jaribio la kombora la kinyuklia la Korea Kaskazini lililofanyika jana, akidai kuwa ingawa limeshindwa ni dharau kwa China. Jana, Korea Kaskazini ilidai kufanya jaribio lake la kombora la Nyuklia ambalo Marekani ilidai kuwa lilishindwa hata kuvuka mipaka ya nchi hiyo ndani ya dakika chache tangu lilipofyatuliwa. “Korea Kaskazini...

Rais Magufuli Ahudhuria Ibada ya Jumapili Katika Makanisa Mawili Tofauti Mjini Moshi.

   Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, leo tarehe 30 Aprili 2017, ameungana na waumini wa dini ya Kikristo kusali ibada ya Jumapili katika Kanisa la Kiaskofu, Jimbo Katoliki la Moshi  ,Parokia ya Kristo Mfalme na Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Usharika wa Moshi Mjini, Dayosisi ya Kaskazini mkoani Kilimanjaro...

LIVE IBADANI GWAJIMA ATOA UFAFUNUZI WA TRENI YA UMEME NA VYETI FEKI.

Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa                             Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa                       ...

KIKOSI CHA YANGA KINACHOIVAA MBAO FC PALE CCM KIRUMBA MWANZA.

Kikosi cha Yanga SC leo dhidi ya Mbao FC  1. Deogratius Munishi  2. Hassan Kessy 3. Haji Mwinyi 4. Vicent Andrew  5. Nadir Haroub 6. Juma Saidi  7. Simoni Msuva  8. Thabani Kamusoko  9. Obrey Chirwa  10. Amissi Tambwe  11. Haruna Niyonzima  Akiba Beno Kakolanya Oscar Joshua Juma Abdul Juma Mahadhi  Emanuel...

JOSHUA AWANIA KUWA MWANAMICHEZO TAJIRI UINGEREZA, HAMILTON, ROONEY WANAONGOZA.

TANO BORA YA WANAMICHEZO TAJIRI UINGEREZA Baada ya kuingiza kitita cha pauni milioni 15 kutokana na ushindi wa jana, bondia Anthony Joshua, anaonekana anaanza kujivuta kwenye listi ya wanamichezo matajiri duniani. Joshua alimtwanga mkongwe Wladimir Klitschko katika pambano kali la ngumi za kulipwa, imemuingizia kitita cha pauni milioni 15 ambazo ni Sh bilioni...

RAY C -Hapa Kazi Tu, Mapenzi Baadaye.

Msanii mkongwe wa muziki, Ray C, amedai kwa sasa anapambana kuhakikisha anafanya vizuri katika muziki wake. Muimbaji huyo ambaye aliwahi kufanya vizuri kipindi cha nyuma na wimbo ‘Mapenzi Matamu’, alikuwa kimya kwenye muziki kwa muda mrefu akijaribu kuachana na matumizi ya dawa za kulevya ambazo zlimuathiri kwa kiasi kikubwa. Akiongea  wiki hii akiwa mwenye...

#BREAKING NEWS>>>Tetemeko jingine latokea Bukoba.

Reporter wa AyoTV ameripoti kutokea mtaa wa Rwamishenye manispaa ya Bukoba kwamba limetokea tetemeko. Amesema tetemeko hilo ambalo limetokea mida ya saa saba na nusu usiku huu wa kuamkia April 30, lilidumu kwa sekunde zisizozidi 15. Mpaka sasa anazunguka kwenye mitaa mbalimbali na anachoshuhudia ni Watu mbalimbali waliotoka nje ya nyumba zao kuhofia tetemeko jingine....

Saturday, 29 April 2017

#BREAKING NEWS>>>PAMBANO LA (JOSHUA VS KLITSCHKO) JOSHUA ASHINDA KWA TKO.

RAUNDI YA 1: Raundi imeanza kwa kasi lakini baadaye kila bondia ameonekana kutegea na kumspma mwenzake RAUNDI YA 2: Joshua alianza kwa kasi, akatawala na kupiga kama ngumi tano nzuri, Klitshcko akajibu kama tatu na mwisho hakukuwa na mashambulizi zaidi ya kuvisiana tu RAUNDI YA 3: Joshua kaana raundi hii kwa kasi kubwa na kushambulia kwa ngumi za mfululizo....

#PICHA:Matukio ya pambano kati Anthony Joshua na Klitschko na kuishia Anthony Joshua kupata ushindi.

Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa                             Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa                       ...

PAMBANO LA JOSHUA DHIDI YA KLITSCHKO SASA LIKO LIVE TV1.

Pambano la ngumi za kulipwa kati ya Anthony Joshua dhidi ya Wladimir Klitschko tayari liko LIVE kupitia TV1. Kwa sasa yameanza kuonyesha mapambano ya utangulizi. Pambano kati ya Joshua wa Uingereza na Klitshcko raia wa Ukraine kuwania mikanda ya IBF na WBA, limekuwa likisubiriwa kwa hamu. Mashabiki wengi wa ngumi wamepiga simu SALEHJEMBE wakiuliza kama kweli...

Italy hajulikani Alikiba wala Diamond - Hussein Machozi.

Msanii wa muziki, Hussein Machozi, amefunguka kwa kudai kuwa, hakuna msanii wa muziki kutoka Tanzania ambaye anajulikana nchini Italy.  Aidha amedai muimbaji kutoka Kenya, Stella Mwangi ambaye anaishi nchini Norway, ndiye msanii wa Afrika Mashariki anayefanya vizuri nchini humo. Muimbaji huyo aliyewasili nchini Tanzania wiki hii akitokea Italy, amedai muziki wa...

Download wimbo mpya wa Nikki Mbishi unaoitwa "Pumzisha Mwili Wako".

Download wimbo mpya wa Nikki Mbishi -Pumzisha Mwili Wako. Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa                             Follow me instagram>>>Bonyeza...