Friday 28 April 2017

YANGA WAKESHA CCM KIRUMBA WAKIWALINDA MBAO WASIFANYE YAO USIKU.

Na Fahad Ally, Mwanza
Kama wewe unaichukulia poa mechi ya Mbao FC dhidi ya Yanga hatua ya nusu fainali Kombe la Shirikisho, basi unajidanganya.


Mechi hiyo inapigwa keshokutwa kwenye Uwanja wa CCM Kirumba jijini hapa na mashabiki wa Yanga maarufu kama “Makomandoo” wameamua kuulinda uwanja huo.
Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
                       Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa

0 comments:

Post a Comment