Home »
Michezo
» YANGA WAKESHA CCM KIRUMBA WAKIWALINDA MBAO WASIFANYE YAO USIKU.
Na Fahad Ally, Mwanza
Kama wewe unaichukulia poa mechi ya Mbao FC dhidi ya Yanga hatua ya nusu fainali Kombe la Shirikisho, basi unajidanganya.
Mechi
hiyo inapigwa keshokutwa kwenye Uwanja wa CCM Kirumba jijini hapa na
mashabiki wa Yanga maarufu kama “Makomandoo” wameamua kuulinda uwanja
huo.
Download Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa
Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
Related Posts:
#MICHEZO>>>HATIMAYE KOCHA WA ARSENAL ..ARSENE WENGER AKUBALI YAISHE KWA MASHABIKI.Fahamu zaidi hapa.
Wakati shinikizo la kutakiwa kuondoka likiendelea kupamba moto katika
mitaa mbali mbali ya kaskazini mwa jijini London, meneja wa klabu ya
Arsenal, Arsene Wenger amesalimu amri kwa kukubaliana na hali halisi.
Wenger amb… Read More
#MICHEZO>>>Manchester unite yaipunguzia kasi ya kutangaza ubingwa wa Ligi ya Uingeleza Leicester.Fahamu zaidi hapa.
Manchester United (4-1-4-1): De Gea 6.5; Valencia
6.5, Smalling 6.5, Blind 6, Rojo 5; Carrick 7; Lingard 5 (Mata 61mins),
Rooney 7.5, Fellaini 5 (Herrera 74), Martial 7,5; Rashford 6 (Depay 82)
Subs (not used): Ro… Read More
PICHA 13>>> FARID MUSA ANAVYOWASHIKA SPAIN ZIKO HAPA.
Farid
ameongezewa muda wa wiki moja zaidi kufanya majaribio kwenye klabu ya
Tenerife baada ya kulivutia benchi la ufundi la klabu hiyo
Kinda wa Azam FC Farid Musa anaendelea kufanya vizuri kwenye
majaribio nchini Hispani… Read More
#MICHEZO>>>>>WAKATI SIMBA IKIBANWA NA AZAM, MWINYI KAZIMOTO ALIKUWA AKISHEREKEA NDOA.Fahamu zaidi hapa.
Kiungo mkongwe wa wekundu wa Msimbazi Simba Mwinyi Kazimoto, hakuwepo
kwenye kwenye kikosi cha Simba kilichocheza dhidi ya Azam FC kwenye
mchezo wa ligi kutokana na kuwa mapumzikoni kufuatia kufunga ndoa
Jumamosi April 3… Read More
#MICHEZO>>>Timu za Azam na Simba zaiyakikishia ubingwa Timu ya Yanga.Fahamu zaidi hapa.
Matokeo ya sare kati ya Simba dhidi ya Azam yanaifaidisha Yanga
ambayo imeendelea kukaa kileleni mwa ligi bila presha kubwa kutoka kwa
Simba na Azam ambazo zimeshindwa kupata matokeo ya ushindi ili
kuisogelea Yanga kilel… Read More
0 comments:
Post a Comment