Kocha Rafa Benitez, amefanikiwa kuirejesha tena Newcastle katika Premier League.
Newcastle imeitwnaga Preston kwa mabao 4-1 na kufanikiwa kurejea Ligi Kuu England.
Mabao ya Christian Atsu, Matt Ritchie na Ayoze Perez yameisukuma Newcastle kwenye ligi hiyo maarufu zaidi.
Download Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa
Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
0 comments:
Post a Comment