Friday 28 April 2017

Picha: Muimbaji Raymond alivyokutana na balozi wa Tanzania nchini Sweden.

Alhamisi hii Raymond ambaye yupo nchini Sweden kwa ajili ya ziara yake ya muziki amefanikiwa kumtembelea Balozi wa Tanzania nchini humo, H.E Dora Mmari Msechu.
 Muimbaji huyo hakusita kuonyesha furaha yake baada ya kukutana na kiongozi huyo. Kupitia mtandao wa Instagram, hitmaker huyo wa ‘Natafuta Kiki’ ameandika, “Earlier today When I was Invited at the Embassy of the United Republic of Tanzania in Sweden. it was wonderfull Moment for all of us…”
 “Ni nafasi ya kipekee nilioipata siku ya leo baada ya kualikwa na balozi wa Tanzania nchini Sweden. Ninafurahi sana kuona mnatuthamini Vijana wenu na kutushika Mkono pia mkitutia moyo tusikate tamaa tuzidi kusonga zaidi na zaidi. Msiache kunisapoti kijana Wenu #tanzanianboy,” ameongeza.



Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
                       Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa

0 comments:

Post a Comment