Wednesday 18 April 2018

Kimenuka: Jeshi la Polisi Limeshikilia Hati za Kusafiria na Simu za Wasanii Nandy, Billnass, Hamissa Mobetto na Diamond.

DAR: Jeshi la Polisi linashikilia hati za kusafiria pamoja na simu za wasanii Diamond Platnumz, Nandy, Billnass na Hamisa Mobetto kwa uchunguzi zaidi

Wasanii hao walikamatwa na kuhojiwa juzi na jana katika Kituo Kikuu cha Polisi kisha kuachiwa kwa dhamana wakitakiwa kuripoti tena Ijumaa Aprili 20

Wasanii hao walikamatwa na kuhojiwa kutokana na kusambaa kwa video zao zisizo na maadili katika mitandao ya kijamii

Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
                       Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
                       Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hapa

0 comments:

Post a Comment