Home »
Michezo
» #MICHEZO>>ENGLAND KUAMUA VITA YA HISPANIA UEFA.Fahamu zaidi hapa.
May 28 mwezi huu ndio fainali ya UEFA,
mashindano yenye msisimko wa hali ya juu duniani kwa ngazi ya vilab
ambayo itafanyika Italia katika mji wa Milan. Wakati hayo yakiendelea
UEFA imemtangaza mwamuzi Mark Cluttenburg kuamua mechi hiyo kati ya
majirani wasiopendana Real Madrid dhidi ya Atletico Madrid.
KITUKO
Moja ya matukio yaliyompa
umaarufu Clattenburg ni mechi ya kombe la ligi kati ya Liverpool na
Reading ambapo alibaini hana kadi ya njano baada ya kutaka kumzawadia
mchezaji wa Reading alipopapasa mfukoni hakuiona ndipo mwamuzi wa akiba
akamletea nyingine na kutoa adhabu hiyo.
Mwaka huu inawezekana ikawa neema
kwakwe kwani atachezesha fainali ya FA kati ya Manchester United dhidi
ya Crystal Palace. Kisha atachezesha fainali ya UEFA Champions League.
Hii inakumbusha Mwingireza Howard Webb alichezesha fainali ya UEFA
kisha fainali ya kombe la dunia.
Je naye atafika huko? kama unakumbuka
mchezo kati ya Manchester United na Chelsea 2012 alipompa Torres kadi
nyekundu kwa uzembe wake mwenyewe ambapo Torres alisukumwa lakini kadi
akapewa yeye. Leo hii amekuwa mtamu kama mcharo kweli ukitulia utaweza
kubadilika.
Related Posts:
SIMBA SC Yachezea Vitasa vya Mtibwa Sugar.Fahamu zaidi hapa.
KLABU ya Simba ikiwa na kipa wake mpya Daniel Agyei, jana imekubali
kichapo cha mabao 2-1 katika mechi dhidi ya Mtibwa Sugar iliyochezwa
kwenye Uwanja wa Azam Complex jijini Dar es Salaam.
Simba ilikuwa na nafasi ya kusa… Read More
BAADA KUONDOKA KWA MBUYU TWITE, HAYA HAPA MANENO YA JUMA ABDUL.FAHAMU ZAIDI HAPA.
&… Read More
KATIKATI YA LA LIGA, BARCELONA YATUA QATAR, YAITWANGA AL AHLI YA SAUDI ARABIA 5-3 NA KURUDI NYUMBANI USIKU.FAHAMU ZAIDI HAPA.
FC
Barcelona imeitwanga Al Ahli ya Saudi Arabia kwa mabao 5-3 katika mechi
ya kirafiki iliyomalizika hivi punde huko Doha, Qatar.
Katika
mechi hiyo ya kirafi, Luiz Suarez, Lionel Messi na Neymar kila mmoja
alifunga … Read More
KAPOMBE HUYU HAPA, ANAPAMBANA KUJIWEKA SAWA ARUDI KISAWASAWA.FAHAMU ZAIDI HAPA.
Baada
ya kupona majeraha ya nyonga, beki wa kulia wa Klabu Bingwa ya Afrika
Mashariki na Kati Azam FC, Shomari Kapombe, amesema kuwa hivi sasa
anapambana vilivyo kurejesha makali yake yaliyomfanya akubalike na
mashabik… Read More
SIMBA YATIMIZA ALICHOTAKA OMOG, YASAJILI MTUPIA MABAO KINDA.FAHAMU ZAIDI HAPA.
Klabu ya Simba imemsajili mshambuliaji nyota wa Stand United anayejulikana kwa jina la Pastory Athanas.
Athanas amesaini mkataba wa miaka miwili leo mbele ya Rais wa Simba, Evans Aveva.
Kocha
Joseph Omog raia wa… Read More
0 comments:
Post a Comment