Mshambuliaji
raia wa Uingereza Harry Kane 22,huenda akazawadiwa kwa mkataba mnono na
klabu yake ya Tottenham Hotspurs kutokana na msimu mzuri.Mshambuliaji
uyo anaelipwa paundi 50,000 kwa wiki atalipwa mara mbili ya mshahara huo
ili kuepuka ushawishi wa vilabu kama Manchester United na Real Madrid
klabu zinazomuhtaji mchezaji huyo
0 comments:
Post a Comment