Home »
Michezo
» #MICHEZO>>>>STAR WA MANCHESTER UNITED AMEKIMBILIA KWENYE MOVIE.Fahamu zaidi hapa.
Midfielder wa Manchester United Bastian Schweinsteiger anajiandaa kucheza tangazo jipya la iPhone app, Clash of Kings.
Mchezaji huyo wa kimataifa wa Ujerumani akiwa na kikosi cha Old
Trafford ndani ya msimu wake wa kwanza kwenye Premier League hajafurahia
maisha yake mapya kwenye ligi hiyo kutokana na kuandamwa na majeruhi ya
mara kwa mara huku kukiwa na taarifa huenda akaikosa michuano ya Euro
itakayoanza mwezi June nchini Ufaransa.
Kiungo huyo mwenye miaka 31, anatarajiwa kukaa nje ya uwanja kwa muda
mrefu zaidi katika maisha yake ya soka na muda huo atautumia ku-shoot
tangazo jipya la Clash of Kings.
Kwa mujibu wa gazeti la Bild la nchini Ujerumani,
Schweinsteiger atacheza kama King kwenye tangazo hilo la kibiashara huku
akiwataka watu wa- in stall app hiyo ya game na kucheza.
Bado haijawekwa wazi kwamba ni lini tangazo hilo litaachiwa lakini
itakuwa inavutia kumuona Schweinsteiger kwenye sehemu ya tangazo hilo.
Je atafuata nyayo za mchezaji wa zamani wa Manchester United Eric
Cantona kuamua kucheza movie baada ya kutundika daruga? Tusubiri tuone
nini kitatokea.
Related Posts:
LIVE UP TO DATES>>>>>>MEDEAMA 3 VS YANGA 1 (LIVE)-FULL TIME.
MPIRA UMEKWISHAAAA
Dk
90, Msuva anagongeana vizuri na Mahadhi na kuachia shuti kali kabisa,
kipa anapangua na kuwa kona. Inachongwa, kipa Paul Aidoo anaokoa tena
Dk 83 hadi 88, inaonekana hakuna matumaini tena kwa Yanga… Read More
#MICHEZO>>>>AZAM FC SASA INAVYOPAMBANA KUMPATA MRITHI WA KIPRE TCHETCHE.Fahamu zaidi hapa.
Katika
kuhakikisha wanaziba nafasi ya mshambuliaji wao, Kipre Tchetche
anayeusumbua uongozi wa Klabu ya Azam FC, mtendaji mkuu wa klabu hiyo,
Saad Kawemba yupo nchini Ghana kumalizana na straika hatari wa timu ya
Medea… Read More
#MICHEZO>>>>BIA YA KILIMANJARO RASMI YAAMUA KUACHANA NA SIMBA.Fahamu zaidi hapa.
Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), imeamua kutosaini mkataba wa kuendelea kuidhamini Simba.
Taarifa
kutoka ndani ya Simba, zinaeleza TBL imegoma kusaini mkataba ikionekana
kuingia hofu baada ya Yanga kutotaka kuendelea … Read More
#MICHEZO>>>BEKI MPYA SIMBA ALIYEFIWA NA MAMA YAKE AREJEA KAMBINI NA KUANZA KAZI.Fahamu zaidi hapa.
SEMWANZA
Simba
tayari imekamilika katika mazoezi ya kujiandaa na msimu ujao wa Ligi
Kuu Bara baada ya beki wa kati wa timu hiyo, Emmanuel Semwanza kurejea
kikosini katika kambi ya timu hiyo huko mkoani Morogo… Read More
#MICHEZO>>>>Vitu alivyoongea bilionea Mohammed Dewji katika mpango wake wa kuinunua Timu Ya Simba.Fahamu zaidi hapa.
Kuelekea
mkutano mkuu wa Simba unaotaraji kufanyika Jumapili ya Julai, 31,
shabiki na mkeleketwa wa Simba ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji na Rais wa
Makampuni ya Mohammed Enterprises (MeTL Group), Mohammed Dewji
amezungu… Read More
0 comments:
Post a Comment