Timu ya Azam FC inaonekana kumpa mkono wa kwa heri kocha wake wa sasa
STEWART HALL baada ya mtendaji mkuu wa timu hiyo Bw. Saad Kawemba
kuwapokea makocha wawili kutoka nchini Hispania kwa ajili ya mazungumzo
kuchukua mikoba ya Hall.
Bofya hapa chini kuona mapokezi hayo na ahadi za kocha huyo mpya.
0 comments:
Post a Comment