Saturday 14 May 2016

#MICHEZO>>>VIDEO# MAPOKEZI YA KOCHA MPYA WA AZAM ALIYEAHIDI KULETA STYLE YA BARCELONA.

Timu ya Azam FC inaonekana kumpa mkono wa kwa heri kocha wake wa sasa STEWART HALL baada ya mtendaji mkuu wa timu hiyo Bw. Saad Kawemba kuwapokea makocha wawili kutoka nchini Hispania kwa ajili ya mazungumzo kuchukua mikoba ya Hall.

Bofya hapa chini kuona mapokezi hayo na ahadi za kocha huyo mpya.

0 comments:

Post a Comment