Mchekeshaji aliyekuwa anakuja juu kwa
kasi Mohammed Abdallah "KINYAMBE" amefariki dunia jana usiku
huko nyumbani kwao Mbeya. Mmoja wa wanandugu wa Kinyambe ameuthibitishia
mtandao w Saluti5 kuwa msanii huyo wa filamu ambaye pia alikuwa
akijulikana kwa jina la James, amefariki baada ya kuugua kwa siku kadhaa.
May 12 2016 ripoti zilianza kusambaa kwenye mitandao
ya kijamii kwa baadhi ya mastaa wa filamu na Muziki nchini, kuhusiana nataarifa
ya kufariki kwa mmoja kati ya wachekeshaji maarufu nchini Tanzania,
Mohammed Abdallah (Kinyambe) kutoka kwenye maigizo ya Vituko Show.
0 comments:
Post a Comment