Machinjio
ya Vingunguti yaliyofungwa na Mamlaka ya Chakula na Dawa Nchini (TFDA)
kwa zaidi ya mwezi mmoja sasa kutokana na uchafu uliokithiri pamoja na
kuhatarisha afya za walaji nyama , yanatarajiwa kufunguliwa siku ya
Jumatatu baada ya kufanyika ukarabati mkubwa na uwekaji wa miundombinu
na maji uliogharimu kiasi cha Shilingi milioni.
0 comments:
Post a Comment