Sunday 15 May 2016

#YALIYOJIRI>>>>MACHINJIO VINGUNGUTI KUFUNGULIWA KESHO.Fahamu zaidi hapa.

Machinjio ya Vingunguti yaliyofungwa na Mamlaka ya Chakula na Dawa Nchini (TFDA) kwa zaidi ya mwezi mmoja sasa kutokana na uchafu uliokithiri pamoja na kuhatarisha afya za walaji nyama , yanatarajiwa kufunguliwa siku ya Jumatatu baada ya kufanyika ukarabati mkubwa na uwekaji wa miundombinu na maji uliogharimu kiasi cha Shilingi milioni.

0 comments:

Post a Comment