Sunday 15 May 2016

#YALIYOJIRI>>>NGONYANI : SERIKALI YA MAGUFULI SI YA MCHEZO.Fahamu zaidi hapa.

Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Injinia Edwin Ngonyani amesema kwamba Serikali ya Awamu ya Tano ikisema jambo inamaanisha na ikiahidi inatenda kama ilivyoahidi hivyo wananchi waiamini.


Ngonyani ameyasema hayo Bungeni alipokuwa akijibu swali la Mbunge Juma Nkamia (CCM) kuhusu kipande cha barabara kutoka chuo cha Mipango Dodoma kwenda Msalato kiasi cha kilomota 8 na zaidi ambapo ziliahidiwa kujengwa..


0 comments:

Post a Comment