Sunday 15 May 2016

#YALIYOJIRI>>>RC SIMIYU AAGIZA UCHUNGUZI WA VIGOGO 6.Fahamu zaidi hapa.

Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Antony Mtaka amemwagiza Kamanda wa Takukuru Mkoa wa Simiyu kuwaongeza katika kesi ya watumishi sita wa Halmashauri ya Bariadi kwa matumizi mabaya ya madaraka baada ya tuhuma za ujenzi wa banio la umwagiliaji wa Kijiji cha Kungulyambeshi na kusababishia serikali hasara ya shilingi milioni 600 ambapo kukamilika kwa mradi huo ni bilioni 1.4 .


Kufuatia agizo la siku tano la Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Antony Mtaka kwa Mkurugenzi Mtendaji na Mkuu wa Wilaya


0 comments:

Post a Comment