Friday, 6 May 2016

BREAKING NEWS>>>>>JENGO LA NSSF LA ENEO LA AKIBA LAWAKA MOTO MUDA HUU.Fahamu zaidi hapa.


Jengo lililoko eneo la akiba posta jijini Dar es salaam limeripotiwa kuwaka moto kuanzia majira ya jioni na chanzo cha moto huo kinasemekana ni mtungi wa gesi kulipuka na kusababisha moto.

Inasemekana hakuna madhara makubwa kutokana na zimamoto kufika kwa wakati katika eneo la tukio. 

Magari ya zimamoto yakiwa eneo la tukio na kuanza Shughuli za uzimaji moto katika jengo la NSSF  lililopo eneo la Akiba jijini Dar es Salaam mud huu. Moto huo inasemekana hakuna madhara makubwa yaliyojitokeza kutokana na watu wa zimamoto kufika kwa wakati katika eneo hilo



0 comments:

Post a Comment