Ni stori ambayo aliitoa kipindi cha nyumba kidogo lakini leo nimeona niwaletee na ninyi mtazame akielezea kilichomkuta na mpaka kupotea kabisa katika anga za muziki wa Bongo Flava.....Its so touching yaai i cant watch this twice. she is a good woman, really strong african woman i like her style, naona rap style yake imebadilika. i like the song Ushaurinwa bure, I think she can do wonders akifanya talk show. there are so many women going through such paths, imagine hearing these stories from Tanzanian women waliopo Tz
Tuesday, 20 September 2016
Home »
Burudani
» #BURUDANI>>>>Stori ya Kusikitisha ya Mwanamuziki Rah P Baada ya Kuwa Mapenzini na Mwanamume Muuza Madawa ya Kulevya.Fahamu zaidi hapa.
#BURUDANI>>>>Stori ya Kusikitisha ya Mwanamuziki Rah P Baada ya Kuwa Mapenzini na Mwanamume Muuza Madawa ya Kulevya.Fahamu zaidi hapa.
Related Posts:
Shilole apigana na mteja wake aliye muhudumia chakula kwenye mgahawa wake.Fahamu zaidi hapa. Download Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa … Read More
Kimenukaa..Jacquline Wolper Afunguka Haya ya Aibu Juu ya Harmonize...!!!.Fahamu zaidi hapa. STAA wa filamu za Kibongo, Jacqueline Wolper kwa mara ya kwanza tangu aachane na mpenzi wake, Rajab Abdulhan ‘Harmonize’ ameibuka na kusema amewaachia penzi wajuaji. Wolper alisema kuwa baada ya kumwagana na Harmonize … Read More
Shilole Afunguka Kuhusu Ujauzito Wake.Fahamu zaidi hapa. Msanii filamu na muziki wa bongo fleva, Shilole amefunguka na kuweka wazi kuwa yeye hana ujauzito wowote bali ameridhika na maisha jambo ambalo limefanya aongezeke mwili na kunenepa licha ya watu kuwa na hisia kuwa huen… Read More
Kamanda Siro Aongea Kuhusu Kukamatwa kwa Vanessa Mdee na Rummy.Fahamu zaidi hapa. Kamishna wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Simon Siro amesema jeshi hilo bado linawashikilia Wasanii maarufu wa muziki wa kizazi kipya akiwemo Vanessa Mdee ambaye alikamatwa juzi (Jumatano) na Rummy Shaeli kwa tuhuma za… Read More
P-Funk: Diamond Anapaswa Kutulia Kidogo, lasivyo Watu Watamchoka.Fahamu zaidi hapa. Producer mkongwe wa Bongo Records, P-Funk Majani, amesema kila siku akiendelea kusikia kuhusu Wasafi, itafika muda atawachoka. Amedai kuwa ili label hiyo iendelee kufanya vizuri kwa muda mrefu, ni lazima ibadilishe sound… Read More
RELATED POSTS
0 comments:
Post a Comment