Ni stori ambayo aliitoa kipindi cha nyumba kidogo lakini leo nimeona niwaletee na ninyi mtazame akielezea kilichomkuta na mpaka kupotea kabisa katika anga za muziki wa Bongo Flava.....Its so touching yaai i cant watch this twice. she is a good woman, really strong african woman i like her style, naona rap style yake imebadilika. i like the song Ushaurinwa bure, I think she can do wonders akifanya talk show. there are so many women going through such paths, imagine hearing these stories from Tanzanian women waliopo Tz
Tuesday, 20 September 2016
Home »
Burudani
» #BURUDANI>>>>Stori ya Kusikitisha ya Mwanamuziki Rah P Baada ya Kuwa Mapenzini na Mwanamume Muuza Madawa ya Kulevya.Fahamu zaidi hapa.
#BURUDANI>>>>Stori ya Kusikitisha ya Mwanamuziki Rah P Baada ya Kuwa Mapenzini na Mwanamume Muuza Madawa ya Kulevya.Fahamu zaidi hapa.
Related Posts:
Flora Mbasha: Naomba Mniache Mimi na Mbasha Tafadhali.Fahamu zaidi hapa. Mwanamuziki wa Injili nchini, Flora Mbasha amesema kuwa watu wamuache na maisha yao kati yake na Mbasha kwani mapenzi ni kitu binafsi kati ya watu wawili na anaishi kama anavyotaka na sio kama watu wanavyotaka aishi … Read More
Joh Makini Ataja Sababu ya Kuchelewa Kuachiwa Kwa Wimbo wa Weusi na Sauti Sol.Fahamu zaidi hapa. Rapper wa kundi la Weusi, Joh Makini amefunguka sababu ya kuchelewa kwa wimbo wao na Sauti Sol kutoka Kenya. Mwezi Septemba mwaka jana, Joh alithibitisha kupitia mtandao wa Instagram kuwa wimbo huo ungetoka kabla mwaka hu… Read More
Chuchu wa Ray Ajifungua Mtoto wa Kiume.Fahamu zaidi hapa. STAA wa filamu Bongo, Chuchu Hans, hatimaye amejifungua mtoto wa kiume katika Hosptali ya Taifa ya Muhimbili, akiwa mwanamke wa kwanza kumpatia muigizaji mkubwa kiume Vincent Kigosi ‘Ray’, mtoto. Akizungumza… Read More
Mama Kanumba: Huyu Ndiye Mrithi wa Kanumba, Naamini Atanifuta Machozi!..Fahamu zaidi hapa. DAR ES SALAAM: Wakati ikiwa inakaribia miaka mitano tangu Aprili 7, 2012, ambapo aliyekuwa nguli wa filamu Bongo, Steven Kanumba, alipoaga dunia, mama yake mzazi Bi. Flora Mtegoa ametembelea kaburini kwa marehemu m… Read More
Diamond akabidhiwa bendera ya taifa kuliwakilisha taifa AFCON 2017 nchini Gabon.Fahamu zaidi hapa. Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Nape Moses Nnauye (kushoto) akimkabidhi bendera ya Taifa Mwanamuziki wa bongo fleva Nasib Abdul maarufu kama Diamond Platinumz kwa ajili ya kwenda kuiwakilisha Tanzani… Read More
RELATED POSTS
0 comments:
Post a Comment