Mwanadada mwenye mvuto kupita wote ndani ya gemu ya maburudani Afrika Mashariki na Kati ameendelea kugonga headlines za vyombo vya habari baada ya kusema Diamond platnumzs alitaka yeye ndio HAWE video Queen wa nyimbo ya Salome na walikubaliana kabisa.... Sema siku ya kushoot alipata zalula hivyo nafasi yake akamwachia hamisa mobeto.... Ila anaamini hangekuwa yeye ndio video Queen basi video hiyo ya Salome ingepata views milioni 2 ndani ya siku mbili.
Saturday, 24 September 2016
Home »
Burudani
» #BURUDANI>>>>Shilole Asema Chupu Chup Awe Salome Kwenye Video ya Diamond...Adai Ingepata Views Mil 2 Ndani ya Siku Mbili.Fahamu zaidi hapa.
#BURUDANI>>>>Shilole Asema Chupu Chup Awe Salome Kwenye Video ya Diamond...Adai Ingepata Views Mil 2 Ndani ya Siku Mbili.Fahamu zaidi hapa.
Related Posts:
BAADA ya Roma Kutekwa na Kuachia..Mmiliki wa Studio ya Tongwe Recodrs Aaamua Kufunga Studio Yake,,Kisa Hiki Hapa. Zikiwa zimepita wiki kadhaa tangu rapa Ibrahim Mussa aka Roma Mkatoliki na wenzake watatu, Moni, Imma na Bin Laden, walipotekwa wakiwa kwenye Studio ya Tongwe Records iliyopo Masaki, habari mpya ni kwamba studio hiyo im… Read More
Quick Rocka akana kutoka kimapenzi na Kajala Licha ya Kunaswa Wakidendeka.Fahamu zaidi hapa. Quick Rocka amejitokeza na kudai kuwa hatoki kimapenzi na malkia wa filamu, Kajala Masanja na kusema hizo ni stori za uongo. Quick Rocka aliwahi kupost video mtandaoni akidendeka na mrembo huyo. Akiongea katika… Read More
Juma Jux Feki Azua Taaruki Njombe.Fahamu zaidi hapa. Mtu aliyejitambulisha kama Jux ambaye ni muimbaji amekuwa tishio katika mkoa wa Njombe baada ya kutapeli kiasi cha shilingi laki tatu za Promota na nyingine za wafanyabiashara wa nguo. Wakati wakazi wa mji wa Makambako, … Read More
RASMI..Flora Mbasha Kufunga Ndoa Wiki Ijayo.Fahamu zaidi hapa. Mwimbaji wa muziki wa Injili nchini, Madame Flora (Flora Mbasha zamani), Jumapili ya wiki ijayo anatarajia kufunga ndoa na mume wake mtarajiwa Daudi Kusekwa katika bustani za hoteli ya Rock Beach jijini Mwanza. Madame… Read More
Penzi la Jack Wolper na Harmonize Chali...Harmonize Apata Mzungu Mwenye Pesa Chafu.Fahamu zaidi hapa. Za kunyapia nyapia zinadai kwamba hakuna tena mapenzi baina ya mastaa @harmonize_tz na mwanadada @wolperstylish. Shilawadu wanadai kwamba Harmonize kwasasa ana toka na mrembo flani hivi wa kizun… Read More
RELATED POSTS
0 comments:
Post a Comment