Home »
Burudani
» #BURUDANI>>>Vanessa Mdee Afunguka Kwa Mara ya Kwanza Kuhusu Kutoka Kimapenzi na Trey Songz.Fahamu zaidi hapa.
Kuna tetesi, picha na video zimesambaa mtandaoni zinazoonesha ukaribu
kati ya nyota wa muziki wa R&B nchini Marekani, Trey Songz na
Vanessa Mdee, zinazotafsiriwa kuwa huenda wakawa wameenda hatua ya juu
zaidi ya kile walichokuwa wakikifanya Nairobi, Kenya.
Wiki iliyopita, Vanessa pamoja na wasanii wengine takriban 9 wa Afrika,
waliingia studio na Trey Songz kurekodi wimbo kwaajili ya msimu mpya wa
kipindi cha Coke Studio Afrika. Hata hivyo Trey alionekana kuwa karibu
zaidi na Vee Money kiasi cha kuzusha tetesi kuwa huenda Jux akawa
amesalitiwa.
Anasema picha na video hizo zinatafsiriwa vibaya na kwamba yeye na Trey
wamewahi kukutana kabla ya hapo na siku zote amekuwa karibu naye.
“Me and J are 100,” Vanessa ameiambia Bongo5 baada ya kuulizwa kuhusu minong’ono hiyo.
“The video and pictures going around are misinterpreted, I worked for
MTV and had met Trey before, we were cool then and are cool now,”
amesisitiza.
“I respect him [Trey Songz], Juma and all our fans.”
“Being a female artist in Africa, people are always waiting for any
opportunity to tarnish ones image , and disregard years of handwork and
success. Watch this space am about to give them more. Kazi tu,”
ameongeza.
Kwa upande mwingine Vanessa amedai kuwa watu wasubirie kusikia jinsi
wasanii wa Afrika walichokifanya na mshindi huyo wa tuzo za Grammy.
“I can’t wait for you and everyone to hear what we worked on with Trey.
Related Posts:
Penzi la Harmonize na Wolper kwishaaa.
Msanii wa muziki kutoka WCB, Harmonize Alhamisi hii amethibitisha kuwachana na malkia wa filamu, Jacqueline Wolper.
Huwenda wawili hao wamezingua siku za karibuni, kwani Machi 16 mwaka huu
Harmonize aliachia project yake … Read More
Wasanii waguswa na vifo vya watu 32, Arusha.Huzuni umetanda, Wilayani Karatu Arusha na Tanzania nzima baada ya
kutokea ajali mbaya ya basi iliyosababisha vifo vya wanafunzi 32 wa
darasa la saba, walimu 2 na dereva wagari la shule ya msingi iitwayo
Lucky Vicent ya Ar… Read More
VANESSA Mdee Alalamika Kuchafuliwa na Afande Sele.
Muda mfupi baada ya msanii wa kitambo kwenye muziki wa kizazi kipya
Bongo, Afande Sele kusikika kwenye kituo kimoja cha redio akitoa maneno
ya kuudhi kwa wasanii Vanessa Mdee ‘Vee Money’ na Man Fongo, mwanadada
huyo ames… Read More
HARMONIZE Ataja Mkwanja Anaoingiza Youtube kwa Mwezi.
Msanii wa Muziki wa Bongo Fleva kutoka lebo ya WCB, Harmonize ameweka
wazi kiasi cha pesa anachoingiza kupitia mtandao wa Youtube kwa Mwezi .
Harmonize amesema watu wanashangaa kuona anatembelea magari ya kifahar… Read More
‘Wapo' ni baba lao katika nyimbo zangu zote - Nay wa Mitego.Msanii wa muziki wa hip hop, Nay wa Mitego amedai wimbo wake ‘Wapo’ ni
wimbo ambao umefanya vizuri kwa muda mchache kuliko nyimbo zake zote
alizowahi kuziachia katika maisha yake ya muziki.
Rapa Nay wa Mitego akiwa kweny… Read More
0 comments:
Post a Comment