Home »
Burudani
» #BURUDANI>>>>RAY C Ashindwa Kuvumilia Anavyompenda Diamond....Aamua kufunguka kama hivi.Fahamu zaidi hapa.
Ray C Ashindwa Kuvumilia Anavyompenda Diamond....Aamua kufunguka kama hivi kupitia mtandao wa Instagram:
From Rayc1982 - Seriously Namaste lil bhaia!ngoja niwe mkweli wa
nafsi yangu nipate nafuu dude!that Salome of Yours is damn hot!The
Powerful couple in this industry kwa sasa bila ubishi wangu ni hawa
wachapakazi wawili,bidii katika kila walifanyalo,go getters,wanavyopeana
nguvu katika kazi zao,team work team work team makes everything go the
it should be and that makes me fall in love with these two hard working
souls!everysecond of the day,lil bro u really smart dude,i respect you
for that roho ya upendo ulionayo ndio inayozaa matunda bora ya vipaji
lukuki vinavyotamba sasa angalia Raymond!Harmonize!!!! Angalia upendo
wako unavyozaa matunda bora,Mungu sio kipofu anaona lil bro!Baraka zake
kwako hazitaisha dogo you deserve every penny lil bhaia! am a fan all
the way keep chasing tht paper,i admire your management team,how serious
you guys are in ths industry of ours..I don't call u Simba no more
dude! I call you THE GURU OF THE INDUSTRY!haaaaaaaaaa nilitaka kusahau
mama weee baiiiiiiiii the wayyyyyyyyyyyyy kale kapicha kangu
kalikobandikwa wasafi studios weeee eeeeee weeeee nimejishauaje sasa
weweeeee mpaka mama angu nimemringishiaaaaaaaa kaka angu
nimemringishiaaaaa mjomba nimemringishiaaaa yani acha weweeee nimefurahi
saaaaana sana umenipa moyo mdogo wng ASANTE SAAAAANA ,Thats very kind
of you lil bro!STAY BLESSED LIL BHAIA! @diamondplatnumz And I am Your
Shabikj Makini without any reasonable doubt......
Related Posts:
Wema Sepetu Atangaza Kupumzika Instagram Kwa Muda...Maneno Maneno Yamkimbiza.Fahamu zaidi hapa.
Maskini Watu wanaingilia life ya Wema Sepetu mpaka ametangaza kujitoa
Insta kwa muda....Chaaa!!!! Waliokuwa Marafiki zake na Timu Wema hali si
shwari, Munalove na Hope wanashutumiana kumsengenya Wema na kumuendea
kwa mga… Read More
Wema Sepetu Amuandikia Ujumbe Miss Tanzania Mpya.Fahamu zaidi hapa.
Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu amedai mshindi wa shindano la Miss Tanzania 2016, Diana Edward alistahili kuchukua taji hilo.
Kupitia Instagram, Wema ameandika:
When You Nailed that question Properly, I knew that The Crow… Read More
Barua ya Tupac Kuuzwa Shilingi Milioni 378.Fahamu zaidi hapa.
Ni miaka 20 tangu afariki rapper mkongwe, Tupac. Na sasa barua ambayo
aliiandika, mwenyewe inatarajiwa kuuzwa kwa kiasi cha $172,750 ambazo ni
zaidi ya shilingi milioni 378 za kibongo.
Kampuni ya Goldin Auctions, imesema… Read More
Mkenya Aibuka Mshindi wa Maisha Plus.Fahamu zaidi hapa.
Olivie Kiarie wa Kenya ameibuka mshindi wa shindano la Maisha Plus. Fainali za shindano hilo zilifanyika mwishoni mwa wiki.
Ushindi huo umempa Olive kitita cha shilingi milioni 30 za Kitanzania.
Shindano la Maisha Pl… Read More
Linah Adai Amejaribu Kumweka Sawa Recho Lakini Ameshindwa.Fahamu zaidi hapa.
Msanii wa muziki Linah Sanga amedai kuwa amejaribu kuzungumza na msanii
mwenzake Recho ili kumrudisha kwenye nafasi yake lakini ameshindwa.
Linah na Recho
Akiongea katika kipindi cha Siz Kitaa cha Clouds TV wiki hii, Lina… Read More
0 comments:
Post a Comment