Home »
Michezo
» #MICHEZO>>>>Simba yatoa kipigo kama Manchester United ilivyo ifunga Leicester hii leo.Fahamu zaidi hapa.
Simba na Manchester United zafanya kufulu leo baada Simba kushinda Simba 4-0 Maji maji na Manchester United kushinda Manchester United 4 - 1 Leicester City,Timu ya soka ya Simba yatamba uwanjani ikionekana inacheza mpira wa kasi muda wote na kupelekea simba kufunga magoli 4 yakiwa yamefungwa na Shiza Kichuya magoli mawili dakika ya 67 na 81 na Jamal Mnyate magoli mawili dakika ya 04 na 74.
Mpaka mpira unaisha Simba 4-0 Maji maji
MATOKEO YA LEO SEPTEMBER 24,2016 LIGI KUU TANZANIA BARA.
| Mtibwa Sugar 1-1 Mbao | | | | | |
|
|
| Ndanda 2-1 Azzam | | | | | |
|
|
| Ruvu Stars 2-0 Mbeya City | | | | | |
|
|
| Simba 4-0 Majimaj |
Related Posts:
MBWANA SAMATA ANNUNUA GARI JIPYA LA KIFAHARI.FAHAMU ZAIDI HAPA.
Mtanzania Mbwana Samatta anayeichezea KRC Genk ya Ubelgiji leo April 15 2017 amepost tofauti tofauti zikimuonesha akiwa na gari aina ya Mercedes Benz, Samatta ambaye kwa sasa anaishi Ubelgiji kutokana na kufanya kazi na KRC… Read More
BAO LA ISCO "USIKU" LAIKOMBOA MADRID, YAITWANGA GIJON 3-2 NA KUJICHIMBIA KILELENI LA LIGI.FAHAMU ZAIDI HAPA.
SPORTING
GIJON: Cuellar; Lillo, Mere, Babin, Amorebieta, Lopez; Carmona, Alvarez
(Afif 90), Vesga, Gomez (Cases 69); Cop (Ndi 79).
SUBS NOT USED: Castro, Marino, Canella, Xavier Torres.
GOALS: Cop 14, Ve… Read More
Simba yatoka sare na Toto Africans 0 – 0.Fahamu zaidi hapa.
SIMBA SC imekwama leo, baada ya kuambulia sare ya 0-0 mbele ya wenyeji Toto Africans Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza.
Matokeo hayo yanaiongezea pointi moja Simba ikifikisha pointi 62
pamoja na zile tatu za mezani walizopewa… Read More
YANGA WAMEFUNGWA MABAO 4-0 DHIDI YA MC ALGER, MAANA YAKE WAMENG'OLEWA KWA JUMLA YA MABAO 4-1.FAHAMU ZAIDI HAPA.
MABAO ya MC Alger yalipatikana katika muda huu:
DK 14
DK 40
DK 66
DK 90+2
Mpira umekwisha na Yanga imetolewa kwa jumla ya mabao 4-1 baada ya kupata ushindi wa bao 1-0 jijini Dar es Salaam.
Mpira
ukiwa katika da… Read More
Cristiano Ronaldo amekuwa mchezaji wa kwanza katika historia kufikisha magoli 100 katika michuano ya Ulaya ngazi ya klabu.Fahamu zaidi hapa.
Cristiano Ronaldo na Rais wa Real Madrid Perez akikabidhiwa jezi
inayoonesha idadi ya magoli aliyofunga katika mashindano ya UEFA club
level
Download Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari… Read More
0 comments:
Post a Comment