Aliwasilisha mikataba miwili ya kazi moja kwa bei tofauti. Mmoja TZS
bil. 37.1 na mwingine wa TZS Bil. 39.5. Hata hivyo wakati wa utekelezaji
jumla ya kiasi cha TZS Bil. 41.5 kililipwa.
Wajumbe 2 wa kamati ya tathmini waligoma kusaini.
Vituo 36 kati 152 havikufungwa mfumo huo kinyume na mkataba
Baadhi ya vifaa vilikuwa vya gharama ya juu zaidi ya bei ya soko kwa zaidi ya TZS Bil. 5.964
Pakua mzigo mzima hapa (Ripoti ipo katika Lugha ya Kiswahili)
Download Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa
Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
0 comments:
Post a Comment