Taifa korofi duniani, Korea kaskazini, limechukua hatua za dharura na
haraka za kuhamisha raia wake wapatao 600,000 na kuwapeleka ktk miji
mingine baada ya Marekani kujiandaa kuishambulia kijeshi nchi hiyo
kutokana na majaribio yake ya mara Kwa mara ya makombo ya nuclear pamoja
na yale ya masafa marefu.
Sababu za kuwahamisha raia hao inadaiwa ni kutoa nafasi Kwa jeshi la
kikosi cha makomandoo ili waweze kuulinda mji huo mkuu Kwa Uhuru zaidi
na kuwaepushia raia madhara.
Manowari za kijeshi za Marekani tayari Zipo ktk peninsula ya Korea zikisubiri amri ya kushambulia kutoka White House.
Download Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa
Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
0 comments:
Post a Comment