Wednesday 19 April 2017

Maiti za Wahamiaji Zaokotwa Baharini.Fahamu zaidi hapa.

Maiti za wahamiaji zimekutwa katika bahari ya Mediterania.

Kwa mujibu wa habari,maiti za wahamiaji hao zilipatwa na mvuvi katika bahari hiyo.

Kati ya maiti 28 nne zimetambulika kuwa ni za wanawake.

Ripoti zinaonyesha kuwa wahamiaji hao walikuwa wanajaribu kuvuka bahari ya Mediterania kutoka Libya kuelekea Ulaya.

Mtumbwi huo unasemekana kupinduka na kusababisha wahamiaji hao kupoteza maisha baada ya kuzama huku wengine walipoteza maisha kutokana na kukaa kwa njaa kwa wakati mrefu.

Ni zaidi ya wahamiaji haramu 100 wameweza kupita katika bahari hiyo kuelekea Italia ndani ya miaka mitatu iliyopita.

Vilevile ni zaidi ya wahamiaji mia saba wamepoteza maisha wakijaribu kuvuka bahari hiyo.


Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
                       Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa

0 comments:

Post a Comment