Wednesday, 28 February 2018

YANGA YAANDIKA HISTORIA MTWARA, YAICHARAZA NDANDA MABAO 2-1.

Young Africans imeandika historia ya kwanza katika Uwanja wa Nangwanda Sijaona baada ya kuifunga Ndanda FC kwa mabao 2-1, mchezo wa Ligi Kuu Bara.Walikuwa Yanga walioanza kucheka na nyavu za Ndanda mapema kabisa kwenye dakika ya 6 ya mchezo, baada ya Pius Buswita kutumia vema madhaifu ya mabeki wa Ndanda kwa kfunga bao la kwanza.Na katika dakika ya 29, Hassan Kessy, alifunga...

Mwimbaji Misri Afungwa kwa Kuikashifu Mto Nile.

Mwimbaji wa Misri Sherine Abdel Wahab amehukumiwa miezi sita gerezani kwa kutania juu ya hali ya usafi wa mto Nile. Sherine, ni mmoja wa waimbaji maarufu nchini humo pia ni jaji katika kipindi cha mashindano ya waimbaji, The Voice- alimwambia mashabiki wake kuwa kunywa maji kutoka mto huo kunaweza kumpatia vijidudu."Kunywa Evian badala yake." akataniaMwimbaji mwingine,...

EXCLUSIVE:Video ambayo inayoonyesha Hoteli aliyojenga Mr. II SUGU Mbeya.

Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa                             Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa                       ...

CCM na Polisi Wapangua Tuhuma za Freeman Mbowe.

Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe ameibua tuhuma mpya dhidi ya baadhi ya idara za Serikali ikiwamo polisi akidai kuna mkakati wa kuwafungulia kesi ya uhaini, mauaji na ugaidi viongozi wa chama chake.Pia, ameinyooshea kidole CCM akidai kwamba inatafuta umaarufu kwa nguvu kwa kununua madiwani.Hata hivyo, polisi na CCM wamekana tuhuma hizo na kumtaka Mbowe aache siasa za...

Tuesday, 27 February 2018

Ngorongoro heroes kucheza na Dr congo fainali za africa.

Timu ya Taifa ya Vijana chini ya miaka 20(Ngorongoro Heroes) imepangwa kucheza na DR Congo kwenye mchezo wa kutafuta tiketi ya kucheza fainali za Vijana za Africa zitakazochezwa Niger mwezi Novemba.Mchezo wa kwanza utachezwa Tanzania kati ya Machi 30,31 na April 1,2018 na ule wa marudiano utachezwa Congo kati ya Machi 20,21 na 22.Mshindi katika mchezo huo atacheza na Mali...

Mbowe,Viongozi wa Chadema waachiwa baada ya kuhojiwa kwa saa tano.

Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na viongozi wengine wac hama hicho wameachiwa kwa dhamana baada ya kuhojiwa Kituo Kikuu cha Polisi tangu saa 6:50 mchanaViongozi hao walifika kituoni hapo leo Jumanne Februari 27, 2018 na kuachiwa saa 1:02 usiku, kuitikia wito wa polisi.Walikwenda kituoni hapo baada ya Mbowe kumaliza mkutano wake na waandishi wa habari makao makuu ya...

Hizi Hapa Sababu Kuu za Wanaume Kupenda Wake za Watu.

ASSALAM aleikum mpenzi msomaji wangu, umzima? Unaendeleaje na mishughuliko yako? Mimi mzima, namshukuru Mungu kwa kunijaalia kuwa miongoni mwa wale wanaopendwa. Yes, mimi napendwa na hiyo ni bahati sana.Wapo watu wanatafuta watu wa kuwapenda lakini mpaka sasa hawajawapata. Ndiyo maana nilishawahi kusema kwamba, ukibahatika kumpata mtu anayekupenda na kwa bahati nzuri na...

Monday, 26 February 2018

VIDEO: 'Serikali Inafurahia Viongozi Wa Upinzani Wanavyouwa?' Mtatiro Afunguka.

Mwenyekiti wa Kamati ya Uongozi ya Chama cha Wananchi CUF,  Julius Mtatiro amesema kukaa kimya kwa Serikali pindi wanapouawa Viongozi wa Vyama vya Upinzani kunaashiria kuwa Serikali inafurahia vifo hivyo hali ambayo inawafanya wauaji waendelee kufanya mauaji hayo kwa kuwa hawakemewi na Serikali.TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI: Download  Application ya Hebron Malele...

Maneno ya Izzo B, Rama Dee na Niki wa Pili Muda Mchache Baada ya Sugu Kuhukumiwa Miezi 5.

Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi na mwenzake Emmanuel Masonga wamehukumiwa kwenda jela miezi mitano na Mahakama ya Hakimu Mkazi ya Mbeya leo Februari 26, 2018 baada ya kukutwa na hatia kutumia lugha ya fedhea dhidi ya Rais Magufuli.Baada ya kuhukumiwa kwenda jela baadhi ya wasanii wa muziki wa bongo fleva wamefunguka yao ya moyoni kuhusu tukio hilo huku wengine...

SIMBA HII ACHA KABISA, YATOA DOZI NZITO KWA MBAO, OKWI AZIDI KUCHEKA NA NYAVU.

Simba imeendeleza ubabe katika michezo ya Ligi Kuu Tanzania Bara baada ya kuipa dozi nene Mbao FC jioni ya leo kwa mabao 5-0, mchezo ukipigwa kwenye Dimba la Taifa, Dar es Salaam.Mchezo huo ambao Simba waliutawala kwa asilimia kubwa, ulianza kutikisa nyavu zake katika dakika ya 37 kupitia Shiza Kichuya, na dakika chache baadaye Emmanuel Okwi alifunga bao la pili kwa njia...

Mbao Yaitumia Salamu za Maaangamizi Simba Katika Mechi ya Leo.

Kikosi cha Mbao kimeamua kupeleka salamu kwa wapinzani wao Simba kuelekea mchezo wao wa leo Jumatatu utakaopigwa katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam kwa kusema kuwa wamekuja jijini Dar es Salaam kupata ushindi na si vinginevyo.Mwenyekiti wa timu hiyo, Solly Zephania Njashi, alisema kuwa maandalizi yao ya mchezo wa leo yapo vizuri na wamejiandaa vya kutosha na wamekuja...

Baada ya kutajwa katika orodha ya watu hatari nchini, Zitto Kabwe afunguka.

Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe amemjibu Mkurugenzi wa kampuni ya CZI, Cyprian Musiba na kusema kuwa taarifa aliyoitoa haimtishi bali analitaka taifa kushughulika na watu wanaomfadhili ili kuharibu mahusiano ya taifa la Tanzania na nchi nyingine duniani. Zitto Kabwe aliandika hayo katika ukurasa wake wa mtandao wa Twitter, baada ya Musiba kuitisha mkutano na vyombo...

Kada wa CCM, Shyrose Bhanji Aukana Ujumbe Ulioandikwa Katika Instagram yake Kuhusu JPM.

Kada wa CCM, Shyrose Bhanji amuomba radhi Rais Magufuli kwa ujumbe uliosambaa ukitokea katika ukurasa wake wa Instagram. Amesema alidukuliwaKupitia akaunti yake ya Instagram ulisambaa ujumbe unaosema ''Sikubaliani na utawala wa Rais JPM, niko tayari kwenda jela" Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza...

Breaking News: Mahakama Yawahukumu kwenda Jela Sugu, Masonga Baada ya Kukutwa na Hatia.

MBUNGE wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi na Katibu wa Chadema Kanda ya Nyanda za Juu Kusini, Emmanuel Masonga wahukumiwa kifungo cha miezi mitano jela baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la kutumia lugha ya fedheha dhidi ya Rais  Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa                             Follow...

Sugu Awasili Mahakamani kwa Hajili ya Kusomewa Hukumu Ulinzi Wahimarishwa.

Ulinzi umeimarishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mbeya ambako itatolewa hukumu ya kesi inayomkabili mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi maarufu Sugu na Katibu wa Chadema Kanda ya Nyanda za Juu Kusini, Emmanuel Masonga.Katika eneo la mahakama wapo askari wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU) wakiimarisha ulinzi nje ya jengo. Tayari washtakiwa wameshafika mahakamani.Mahakama...