Home »
Habari Moto
» Wazanzibar elfu 40 Wafungua Kesi Mahakamani Wakihoji Uhalali wa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
Wazanzibar elfu 40 wafungua kesi Mahakama ya Haki ya Afrika Mashariki(EACJ) wakihoji uhalali wa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar-Kesi hiyo imefunguliwa katika Masijala ya Mahakama hiyo iliyoko Dar na Rashid Adiy kwa niaba ya wenzake 39,999-Wadaiwa katika kesi hiyo ni Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar(SMZ), Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Download Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa
Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hapa
Related Posts:
Hivi Ndivyo Naibu Spika Alivyokataa Kata Kata Kuruhusu Bunge Kujadili Suala la Utekaji wa Kina Roma..Akidai Jambo Hilo Halina Maslahi kwa Nchi.Fahamu zaidi hapa.
MBUNGE wa Nzega Mjini, Hussein Bashe (CCM), amedai kupewa taarifa na
mawaziri kuwa muda wowote anaweza kuuawa na kikundi maalumu
kinachoendesha utekaji nchini.
Aidha, Bashe amedai kuwa mbali na yeye kuwa katika hatari… Read More
Mbunge wa Chemba Juma Nkamia Amshangaa Mwakyembe Kuhudhuria Press Conference ya Roma.Fahamu zaidi hapa.
Mbunge wa Chemba Juma Nkamia (CCM) amemshangaa Waziri wa Waziri wa
Habari,Utamaduni, Sanaa na Michezo Dk Mwakyembe kuhudhuria press
conference
Binafsi ya Msani Roma Mkatoliki,na kusema kuwa kitendo hicho kinazidisha masw… Read More
Aeshi Hilaly (Mb-CCM): Nilitishwa na Makonda Hadi Sasa Naogopa Kwenda Dar kwa Usalama Wangu.Fahamu zaidi hapa.
Mimi Leo nilikuwa sitaki kusema, lakini ngoja tu niseme, nimetishwa na
mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, aliniambia nyie wabunge ni wanafiki na
nitawashughulikia na nitaanza na wewe, mimi leo Dar naiogopa.
Niko tayari ku… Read More
Bashe: CCM Acheni Unafiki, Mimi Nimeshakamatwa na Watu wa Usalama. Nipo Tayari Mniondoe Kwenye Chama Chenu.Fahamu zaidi hapa.
Mbunge HusseinBashe awataka wabunge CCM kuacha unafiki, akisema yupo
tayari kufukuzwa ila kweli alikamatwa na maafisa wa usalama wa taifa.
'CCM acheni unafiki mimi nimeshakamatwa na watu wa usalama mnasema hawakamati, … Read More
Mfumuko wa Waongezeka kwa Asilimia 1.4..Sasa Umefikia Asilimia 6.4.Fahamu zaidi hapa.
Kiwango cha mfumuko wa bei nchini kimepanda kwa wastani wa 1.4 kutoka
asilimia 5 ilivyokuwa mwezi Februari hadi asilimia 6.4 kwa mujibu wa
taarifa kutoka Ofisi ya Taifa ya Takwimu nchini (NBS).
Kwa mujibu wa taarifa h… Read More
0 comments:
Post a Comment