Friday 28 April 2017

Taarifa kwa madaktari waliokidhi vigezo kwenda kufanya kazi Kenya.

Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii,jinsia na Watoto,Idara kuu ya Aya, inawatangazia madaktari walioomba kufanya kazi nchini Kenya na sasa kuajiriwa hapa nchini Tanzania, kutakiwa kuripoti kwenye vituo vyao vya kazi siku ya 14 ya tangazo hili kutoka.

Soma taarifa kamili:


Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
                       Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa

0 comments:

Post a Comment