Saturday 29 April 2017

PAMBANO LA JOSHUA DHIDI YA KLITSCHKO SASA LIKO LIVE TV1.

Pambano la ngumi za kulipwa kati ya Anthony Joshua dhidi ya Wladimir Klitschko tayari liko LIVE kupitia TV1.

Kwa sasa yameanza kuonyesha mapambano ya utangulizi.

Pambano kati ya Joshua wa Uingereza na Klitshcko raia wa Ukraine kuwania mikanda ya IBF na WBA, limekuwa likisubiriwa kwa hamu.

Mashabiki wengi wa ngumi wamepiga simu SALEHJEMBE wakiuliza kama kweli linaonyeshwa LIVE.



Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
                       Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa

0 comments:

Post a Comment