sanii wa muzuki wa bongo fleva Nuh Mziwanda ambaye alikuwa akitoka
kimapenzi na Shilole alisema kuwa aliumia alipomfumania Madee na mpenzi
wake huyo wa zamani katika sehemu ambayo si ya wazi yaani chumbani.
Lakini Madee kupitia kipindi cha Planet bongo amekana tuhuma hizo na
kusema kuwa suala hilo halina ukweli wowote ule na kudai kuwa Shilole ni
rafiki yake ambaye mara kadhaa walikuwa wakitembeleana kwa ajili ya
kusalimiana na kupanga mipango mingine ila hakuwahi kutoka na naye
kimapenzi na wala hajawahi kufumaniwa na Nuh Mziwanda kama ambavyo
inasemekana.
” Siyo kweli Shilole ni rafiki yangu kama marafiki wengine, labda huyo Nuh Mziwanda angeleza vizuri aliwahi kunifumania wapi, lini na wakati gani labda naweza kukumbuka lakini ukweli ni kwamba yule na rafiki yangu kama walivyo rafiki wengine hivyo naomba ieleweke hivyo” alisema Madee
eatv.tv
” Siyo kweli Shilole ni rafiki yangu kama marafiki wengine, labda huyo Nuh Mziwanda angeleza vizuri aliwahi kunifumania wapi, lini na wakati gani labda naweza kukumbuka lakini ukweli ni kwamba yule na rafiki yangu kama walivyo rafiki wengine hivyo naomba ieleweke hivyo” alisema Madee
eatv.tv
0 comments:
Post a Comment