Home »
Habari Moto
» #YALIYOJIRI>>>>JPM ZIARANI ZAMBIA LEO.FAHAMU ZAIDI HAPA.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 12 Septemba, 2016 anatarajiwa
kuwasili Mjini Lusaka nchini Zambia kwa ziara ya siku tatu ambapo pamoja
na mambo mengine atahudhuria sherehe za kuapishwa kwa Rais Mteule wa
Sita wa Jamhuri ya Zambia MH. Edgar Chagwa Lungu zitakazofanyika
keshokutwa tarehe 13 Septemba, 2016 katika Jiji Ia Lusaka.
Rais Magufuli anafanya ziara hii ya
kwanza nchini Zambia akiwa mwenyekiti wa Kamati ya Siasa, Ulinzi na
Usalama ya Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC).
0 comments:
Post a Comment