Home »
Burudani
» JIBU la Harmorapa Kuhusu Jinsia Yake Laibua Mshangao Mitandaoni.Fahamu zaidi hapa.
Mwanamuziki ambaye amekuja kwa kasi
kwenye tasnia ya, Harmorappa au muite Kiboko ya Mabishoo leo amewaacha
midomo wazi watu wengi kufuatia jibu lake alilolitoa alipoulizwa kuwa
yeye ni mwanaume wa aina gani.
Akiwa katika kipindi cha Kikaangoni
kinachorushwa na EATV, Harmorappa aliulizwa swali lililotumwa na shabiki
aliyekuwa akifuatilia kipindi hicho ambalo liliuliza, “Wewe ni mwanaume
wa aina gani?” na akijibu swali hilo alisema, “Mimi ni strong woman.”
Jibu hilo limewashangaza wengi kwa
sababu Harmorappa ni mwanaume na hivyo wengi wameshindwa kuelewa kama
alielewa swali liliuliza nini au alijibu kama utani.
Alipoulizwa kama anafahamu lugha ya Kiingereza, Harmorappa alisema anaielewa vizuri lakini tatizo ni kwenye kuongea.
“LUGHA YA KIINGEREZA NAIFAHAMU VIZURI LAKINI ILE KUONGEA ONGEA NDIYO SIWEZI”
Aidha, amesema kuwa kwa sasa hana mpango
wa kujiendeleza kimasomo hasa kwenda chuo labda ajifunze zaidi lugha ya
Kiingereza. Kuhusu suala la kujiunga WCB, alisema, “Siwezi kujiunga WCB
hata kwa shilingi ngapi, Sizuzuki na hela, maana kama ni hela hata mimi
mwenyewe ninazo.”
Download Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa
Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
Related Posts:
#BURUDANI>>>>>Orodha ya Wasanii Watakaowania Tuzo za MTV MAMA 2016, Navykenzo, Diamond na Alikiba Ndani.Fahamu zaidi hapa.
Orodha
ya wasanii watakaowania tuzo za MTV MAMA 2016, Jumamosi ya Oktoba 22
kwenye ukumbi wa Ticketpro Dome, Afrika Kusini imetoka – kuna vipengele
tisa. Tanzania inawakilishwa na Alikiba, Diamond na Navy Kenzo.
Hii ni … Read More
#BURUDANI>>>>WEMA Sepetu Akunwa na Wimbo wa Diamond 'Salome' Ajirekodi Akiimba, Diamond Asema Haya.Fahamu zaidi hapa.
Malkia wa filamu Wema Sepetu amekunwa na wimbo mpya wa Diamond Platnumz
‘Salome’ na kuamua kujirekodi video huku akiimba wimbo huo.
Diamond alipost video instagram inayomwonyesha mwigizaji huyo akiimba
wimbo ‘Salome’ huk… Read More
#BURUDANI>>>>BOSS WA BONGO STAR SEARCH…KUFILISIWA NA TRA…ANADAIWA BILIONI 7 ZA KODI,KAMPUNI YAFUNGWA.FAHAMU ZAIDI HAPA.
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), kwa kushirikiana na Kampuni ya
Udalali ya Yono, wameifungia Kampuni ya Benchmark Productions na kuipa
muda wa siku 14, iwe imelipa deni la kodi ya Sh bilioni 7.04, vinginevyo
mali za kam… Read More
#BURUDANI>>>>TETESI za Bifu Kati ya Raymond na Harmonize Kutoka WCB, Meneja Wao Asema Haya.Fahamu zaidi hapa.
Meneja anayewasimamia wasanii wa WCB wakiwemo Harmonize na Raymond,
Ricardo Momo, amekanusha tetesi kuwa mafahari hao wamekuwa wakivimbiana
na kwamba kila mmoja anajiona bora.
Akiongea na mtangazaji wa kipindi cha Supa M… Read More
#BURUDANI>>>>ZARI Amuumbua Hamisa Mobetto, Aanika Live Uchafu Wake na Diamond.Fahamu zaidi hapa.
Zile tetesi za muda mrefu kuhusu mwanamuziki Diamond Platnums pamoja
model maarufu nchini, Hamisa mobeto aka Salome kuvunja amri ya sita
huenda zikazaa matunda soon baada ya hivi karibuni mzazi mwenzie ,ambaye
pia ni mpe… Read More
0 comments:
Post a Comment