Home »
Habari Moto
» WAZIRI Nchemba Awasili Eneo yalipotokea Mauaji ya Polisi Wanane.Fahamu zaidi hapa.
Waziri wa Mambo ya Ndani, Mwigulu
Nchemba amewasili eneo yalipotokea mauaji ya askari wanane katika kijiji
cha Jaribu, Wilayani Kibiti.
Waziri Nchemba ameambatana na naibu wa wizara hiyo, Mhandisi Hamad Masauni.
Nchemba atatembelea kambi za askari polisi wa kanda ya Pwani na katika kata ya Bungu wilayani Kibiti.
Download Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa
Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
Related Posts:
Bashe: CCM Acheni Unafiki, Mimi Nimeshakamatwa na Watu wa Usalama. Nipo Tayari Mniondoe Kwenye Chama Chenu.Fahamu zaidi hapa.
Mbunge HusseinBashe awataka wabunge CCM kuacha unafiki, akisema yupo
tayari kufukuzwa ila kweli alikamatwa na maafisa wa usalama wa taifa.
'CCM acheni unafiki mimi nimeshakamatwa na watu wa usalama mnasema hawakamati, … Read More
Aeshi Hilaly (Mb-CCM): Nilitishwa na Makonda Hadi Sasa Naogopa Kwenda Dar kwa Usalama Wangu.Fahamu zaidi hapa.
Mimi Leo nilikuwa sitaki kusema, lakini ngoja tu niseme, nimetishwa na
mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, aliniambia nyie wabunge ni wanafiki na
nitawashughulikia na nitaanza na wewe, mimi leo Dar naiogopa.
Niko tayari ku… Read More
Hivi Ndivyo Naibu Spika Alivyokataa Kata Kata Kuruhusu Bunge Kujadili Suala la Utekaji wa Kina Roma..Akidai Jambo Hilo Halina Maslahi kwa Nchi.Fahamu zaidi hapa.
MBUNGE wa Nzega Mjini, Hussein Bashe (CCM), amedai kupewa taarifa na
mawaziri kuwa muda wowote anaweza kuuawa na kikundi maalumu
kinachoendesha utekaji nchini.
Aidha, Bashe amedai kuwa mbali na yeye kuwa katika hatari… Read More
Sugu: Mbunge Mlinga wa CCM Anatukana Mbona Naibu Spika Anamlinda Tukiomba Mwongozo.Fahamu zaidi hapa.
Mbunge wa Mbeya mjini Joseph Mbilinyi amehoji inakua vipi mbunge wa
Goodluck Mlinga wa CCM amekuwa akitukana wapinzani mara kwa mara bungeni
ila hachukuliwi hatua
Amesema walipoomba mwongozo wa matusi ya mbunge huyo n… Read More
JE Umewahi Kusikia Kuwa Kinywaji Cha Redbull Kina Madhara Makubwa Mwilini...Ukweli Huu Hapa.Fahamu zaidi hapa.
RED BULL Huuzwa katika maduka makubwa (Supermarkets) na madogo (Retail
Shops) katika nchi ya Tanzania, watu wazima na watoto wengi wana mazoea
ya kunywa kinywaji hiki ambacho kinaweza kusababisha kifo. Kemikali
zinazopat… Read More
0 comments:
Post a Comment