Serengeti Boys yatoa kauli kufuatia vifo vya wanafunzi Arusha.
Kocha mkuu wa timu ya taifa ya vijana wa chini ya miaka 17 ‘Serengeti
Boys’ Bakari Shime ametuma salamu za rambirambi kwa watanzania wote
kufuatia vifo vya wanafunzi wa shule ya msingi ya Lucky Vincent na watu
wengine wa…Read More
Yanga yaitandika Kagera Sugar (Yanga 2 - 1 Kagera Sugar).
Mabingwa watetezi Ligi Kuu Tanzania Bara Young Africans, wamerudi
kileleni rasmi baada ya kuwachakaza wapinzani wao Kagera Sugar bao 2-1
mchezo uliochezwa katika uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam.
Timu ya Yanga iliwez…Read More
0 comments:
Post a Comment